hii ni crapWengi wa wanafunzi wa muhimbili ni watoto wa 'vigogo' hawaishiwi saana.
Unategemea mtoto wa kikwete,lowassa,mahiza,msola,magembe,komba,maboko na maprofesa mbalimbali wanaweza kushiriki kwenye migomo ya kuganga njaa?
hii yako ndio crap zaidi.hii ni crap
ina maana hao vigogo uliowataja hapo wamezaa watoto ishirini kila mmoja??
tuwe tunafikiria kabla ya kusema bana