Boom kwa mwaka wa 2&3, SEKOMU

Sodium

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
754
Reaction score
404
Inasikitisha sana kwa wanafunzi wa chuo cha sekomu mwaka wa 2&3 kukosa mkopo, karibia nusu ya wanafunzi hawapo kwenye list iliyotolewa na bodi ya mkopo na mpaka sasa hawajapata muafaka, hivi ni chuo iki tu au na vyuo vingine?
 
Mwaka wa pili na watatu majibu yao huchelewa kidogo hutoka kwa batch ili bodi imesema itawapa watu 2000 tu vyuo vyote
 
Kwaiyo kuna barch nyingine ?
 
Inasikitisha sana kwa wanafunzi wa chuo cha sekomu mwaka wa 2&3 kukosa mkopo, karibia nusu ya wanafunzi hawapo kwenye list iliyotolewa na bodi ya mkopo na mpaka sasa hawajapata mhafaka,hivi ni chuo iki tu au na vyuo vingine?

kama wewe ni mwaka wapili au watatu na umekosa mkopo, basi utakua umeshapoteza sifa za kupewa mkopo.

Moja ya masharti uliyopewa na bodi ni kutofeli masomo yako. Kama ulifeli (ulistahili kudisco) na chuo KIKAKUKUMBATIA, basi bodi hatukutambui!

Wito kwangu wanafunzi wa mwaka wa kwanza. Mara mfikapo chuo, msome kwa bidii ili mfaulu masomo yenu. Bodi ya mikopo hatuta sitisha mkopo kwa mwanafunzi yoyote anaye endelea na masomo, kama hatapoteza sifa za kupewa mkopo.
 

mkuu pamoja ila why mwaka mbona mmewanyima mkopo madogo wengi sanaaaa
 
Ilo nalitambua ila siyo kwamba watu wamefail
 
Inasikitisha sana kwa wanafunzi wa chuo cha sekomu mwaka wa 2&3 kukosa mkopo, karibia nusu ya wanafunzi hawapo kwenye list iliyotolewa na bodi ya mkopo na mpaka sasa hawajapata mhafaka,hivi ni chuo iki tu au na vyuo vingine?

Sio 'mhafaka' ni 'muafaka'. Hivi wewe unasoma university kweli?
 
mkuu pamoja ila why mwaka mbona mmewanyima mkopo madogo wengi sanaaaa

Mkuu hujamuelewa kijana anazungumzia wale walio omba mkopo wakiwa mwaka wa pili na kuendelea labda mwaka jana aliomba aka kosa au hakuomba akaomba mwaka huu ndo anauliza majibu yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…