Kwa wale wanafunzi wa St Augustine walioanza 2nd sem tangu tar 13 february msitegemee kupata boom hivi punde. Kuna tetesi ya kwamba yule jamaa Alex akishirikiana na baadhi ya viongozi wamedeposit cheque ya loan board tangu tar 22 january. Wanasubiri mwezi utimie tar 22 feb ndo tutaanza kusaini.
don oba, nimefurahi kuisoma post yako mkuu kumbe wanafunzi wa saut bado hawajapata boom! aisee vile vibinti kipindi kama hiki tulikuwa tunavila vibaya sana.. ukivipa buku 5 tu unajibebea hehehe cha muhimu ni kwa binti nikupeleka mkono kinywani tu. safari hii imenipita bwana kutokana na majukumu kuwa mengi, mwakani nitatafuta nafasi by december/january/feb nije mwanza.
watoto huwa wananyodo sana boom likiingia, wakiishiwa madereva wa tax/daladala wauza maduka, wazee wote huwa wanaponea saut
don oba, nimefurahi kuisoma post yako mkuu kumbe wanafunzi wa saut bado hawajapata boom! aisee vile vibinti kipindi kama hiki tulikuwa tunavila vibaya sana.. ukivipa buku 5 tu unajibebea hehehe cha muhimu ni kwa binti nikupeleka mkono kinywani tu. safari hii imenipita bwana kutokana na majukumu kuwa mengi, mwakani nitatafuta nafasi by december/january/feb nije mwanza.
watoto huwa wananyodo sana boom likiingia, wakiishiwa madereva wa tax/daladala wauza maduka, wazee wote huwa wanaponea saut
Alex,Mama nasania,na raisi wenu mataba wote wezi minimemaliza mwaka jana ila hao watu ndo chanzo cha dada zetu kujiuza ila kamavipi komaeni tu wadogo zetu siku moja mtatoka kama sisi.
mbna cc 2likomaaga 2010 nikiwa na mh machali mpaka kwa meneja wa benk mbna kesho yake 2lipewa hela.so nawashauri nenden benk mkauliza ka hela yenu imeingia.alex ni **** mkubwa cjui wanaundugu na kitima?
aisee umenipa ushauri mzuri, ngoja nijipange na makamanda wenzangu twende kwa meneja wa bank. Tatizo SAUT hawana ushirikiano, chuo km seminari....wengine hatuna mkopo tunawatetea lakini wao wapo tu wamekausha.
aisee umenipa ushauri mzuri, ngoja nijipange na makamanda wenzangu twende kwa meneja wa bank. Tatizo SAUT hawana ushirikiano, chuo km seminari....wengine hatuna mkopo tunawatetea lakini wao wapo tu wamekausha.