Jamani hivi inawezekana kweli bodi mpaka sasa hawajatoa pesa ya awamu ya kwanza kwa wale tulio batch ya tatu? Maana hapa tangu nije nimeishia kupeleka detail tu, wala sijasain pesa. Dah Must chuo changu
Dah sio nyie tu hata sie wa DIT batch ya mwisho hatujalamba hata senti ya bum la kwanza,vuta subra nadhan mzigo utaingia wote wa round ya kwanza na pili,we kopaaa tu
Dah sio nyie tu hata sie wa DIT batch ya mwisho hatujalamba hata senti ya bum la kwanza,vuta subra nadhan mzigo utaingia wote wa round ya kwanza na pili,we kopaaa tu