wanajamvi hali nimbaya sana hasa viunga vyote vya main campus em wenyetarifa kamili watujuze iliwatu wawe namatumain ya kuishi.
wanajamvi hali nimbaya sana hasa viunga vyote vya main campus em wenyetarifa kamili watujuze iliwatu wawe namatumain ya kuishi.
Boom mpaka mwezi wa sita
wametutenga morogoro... Hakuna hata chuo ki1 ambcho wanafunz wamexain
Hahaha hapana mkuu