Boooom udsm continuing student

Boooom udsm continuing student

MTUNZA AMANI

Senior Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
187
Reaction score
21
Wanabodi mwenye taarifa kamili kuhusu boom udsm,maana chuo kimefungua lakini account hazijacheu,je tatizo ni nini? Maana hamna taarifa yoyote,je tutaishije maana hizo ndo pesa za kula. Naombeni mwenye taarifa atujuze au DARUSO najua huwa mnapita humu jamvin tujuzeni basi.
 
wapenda vya bure hao,,,,,,,, kerere nyiiiiiiiiiiiingi
 
Wengine mbona tayari? Angalia GPA yako kama inacheza kiduku(below 2) and u sat 4sapp exams
 
Back
Top Bottom