Boots pharmacy unahitaji ma pharmacists

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Boots pharmacy inajulikana na wengi waliowahi kuishi Uingereza kampuni hii inakabiliwa na uhaba mkubwa wa wafamasia wana pokea maombi mengi kutoka India.

Wenye degree za pharmacy jaribuni kuingia kwenye website yao ukifanikiwa wanakusaidia kuprocess work permit.

Asanteni
 
Watakuambia ni mbali na nyumbani na kuna ubaguzi.

Hawa hawahitaji vigezo kama vile vya Army ku-stay Uingereza kwa 6moths wakati applications zinachakatwa?
 
Watakuambia ni mbali na nyumbani na kuna ubaguzi.

Hawa hawahitaji vigezo kama vile vya Army ku-stay Uingereza kwa 6moths wakati applications zinachakatwa?
Una tabia mbaya ujue...
 
Tabia gani Jonah? Apply kazi hiyo
Mie sipo kabisa kwenye hayo mambo
Kwanini huingii mara nyingi JF siku hizi?tatizo nini?kama tatizo ni bundle si unambie niwe nakutumia baba naniliu?
 
Mie sipo kabisa kwenye hayo mambo
Kwanini huingii mara nyingi JF siku hizi?tatizo nini?kama tatizo ni bundle si unambie niwe nakutumia baba naniliu?
[emoji3][emoji3]
Mke mwenzio anadai huduma mama haachi nipumue kaniambia mwakani anataka kwenda Dubai kama wewe... nachakarika nisije nikaachwa


Wewe upo wapi sasa kama haupo huko!
 
Watakuambia ni mbali na nyumbani na kuna ubaguzi.

Hawa hawahitaji vigezo kama vile vya Army ku-stay Uingereza kwa 6moths wakati applications zinachakatwa?
It's worth trying, wanachukua wahindi kutoka India wengine English mbaya sana
 
[emoji3][emoji3]
Mke mwenzio anadai huduma mama haachi nipumue kaniambia mwakani anataka kwenda Dubai kama wewe... nachakarika nisije nikaachwa


Wewe upo wapi sasa kama haupo huko!
Sasa akikuacha mimi si nipo...hata hivyo itakuwa vizuri maana utakuwa wa kwangu peke yangu
Sipendi ku-share ujue

Mi nipo mbali kidooogo na huku,nitakwambia
 
Sasa akikuacha mimi si nipo...hata hivyo itakuwa vizuri maana utakuwa wa kwangu peke yangu
Sipendi ku-share ujue

Mi nipo mbali kidooogo na huku,nitakwambia

[emoji3][emoji3] ujiandae tu kumlea klaree...

Kiukweli vya kushare vipo vingi ila sio mapenzi.

Haya nasubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…