bora akili au akili bora ?

Ni wapi hapo?, au ni pichaduka. Lakini sory naona mtandao inasumbua kwa hiyo ameamua kuufuata mawinguni.
 
Teh teh teh! Inafaa kwa tangazo la kampuni fulani ya simu.
 
Kudadadeki lazima huko kuna mgawo,ukanyage hayo mawaya peku..
 
Hapo anaonyesha matumizi mengine ya nguzo za umeme wakati wa mgao wa umeme. Hasa hapa bongo.
 
naamini jamaa atakua fundi wa kampuni ya simu au Kishoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…