Bora Gamondi ameondoka kabisa, aliua derby ya Kariakoo

Bora Gamondi ameondoka kabisa, aliua derby ya Kariakoo

CARIFONIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
616
Reaction score
1,453
Huyu jamaa alikuwa na roho mbaya. Just imagine, derby ilikufa kabisa. Kila Simba na Yanga zilipokutana, unajua kabisa kolo anaenda kuchezea. Kwa ufupi, aliwafanya ubaya ubwela kuwa kapu la kuvunia pointi.

Gamondi aliwageuza makolo kama chapati. Ninachokiona ni kwamba kocha wa Simba hatofika Krismasi. Watampa mkono wa kwa heri, kisha watamfuata master Gamondi kuchukua mikoba yake.
 
Huyu jamaa alikua na roho mbaya just imagine derby ilikufa kabisa, kila zikikutana Simba na yanga unajua kabisa kolo anaenda kuchezea, kwa ufupi aliwafanya ubaya ubwela kua kapu la kuvunia point.
***** aliwageuza makolo kama chapati, na ninachokiona kocha wa simba atofika Christmas watampa mkono wa kwaeli then watamfata master GAMOND kuchukua mikoba yake.
Sio yeye aliyefanya hivyo ni uchawi na waamuzi mliowanunua.
Ndio maana viongozi wamemtimua kwa kuwa wanajua walikuwa wanapataje matokeo
 
Huyu jamaa alikua na roho mbaya just imagine derby ilikufa kabisa, kila zikikutana Simba na yanga unajua kabisa kolo anaenda kuchezea, kwa ufupi aliwafanya ubaya ubwela kua kapu la kuvunia point.
***** aliwageuza makolo kama chapati, na ninachokiona kocha wa simba atofika Christmas watampa mkono wa kwaeli then watamfata master GAMOND kuchukua mikoba yake.
Kwa akili hiyo we ni kichaa ulievaa nguo kama unabisha nenda kapime afya ya akili
 
Kwa kawaida ni ngumu kwa binadamu kukubali mabadiliko, lakini kiukweli Gamondi alipaswa kuondoka ili kuruhusu Yanga kujivua gamba.
1. Gamondi hakuwa Tena na uchu wa mafanikio
2.Alifika mwisho kimbinu
3. Wachezaji walianza kumchukulia poa
4. Timu nzima ilikuwa inacheza ki-father
5. Kuna hili la kukataa kambi, sina uhakika nalo kwani Yanga walihama Avic Town?
 
Huyu jamaa alikua na roho mbaya just imagine derby ilikufa kabisa, kila zikikutana Simba na yanga unajua kabisa kolo anaenda kuchezea, kwa ufupi aliwafanya ubaya ubwela kua kapu la kuvunia point.
Hapo unaitaja bure tu Simba, lakini kuna sababu ya kuondoka kwake ambayo unajaribu kuifunika
 
Huyu jamaa alikua na roho mbaya just imagine derby ilikufa kabisa, kila zikikutana Simba na yanga unajua kabisa kolo anaenda kuchezea, kwa ufupi aliwafanya ubaya ubwela kua kapu la kuvunia point.
***** aliwageuza makolo kama chapati, na ninachokiona kocha wa simba atofika Christmas watampa mkono wa kwaeli then watamfata master GAMOND kuchukua mikoba yake.
Inakuwaje kocha ambaye anaifunga Simba na kuchukua mataji anafukuzwa? Hilo ndilo swali la kujiuliza wana utopolo. Au uongozi haupendi kocha anayeleta mafanikio?
 
Yalicheza majini fc...uto ndo wale waliokula Nyuki 3...m
Utopolo bila milango ya nyuma ni bata
 
Back
Top Bottom