Sio yeye aliyefanya hivyo ni uchawi na waamuzi mliowanunua.Huyu jamaa alikua na roho mbaya just imagine derby ilikufa kabisa, kila zikikutana Simba na yanga unajua kabisa kolo anaenda kuchezea, kwa ufupi aliwafanya ubaya ubwela kua kapu la kuvunia point.
***** aliwageuza makolo kama chapati, na ninachokiona kocha wa simba atofika Christmas watampa mkono wa kwaeli then watamfata master GAMOND kuchukua mikoba yake.
Kwa akili hiyo we ni kichaa ulievaa nguo kama unabisha nenda kapime afya ya akiliHuyu jamaa alikua na roho mbaya just imagine derby ilikufa kabisa, kila zikikutana Simba na yanga unajua kabisa kolo anaenda kuchezea, kwa ufupi aliwafanya ubaya ubwela kua kapu la kuvunia point.
***** aliwageuza makolo kama chapati, na ninachokiona kocha wa simba atofika Christmas watampa mkono wa kwaeli then watamfata master GAMOND kuchukua mikoba yake.
Hapo unaitaja bure tu Simba, lakini kuna sababu ya kuondoka kwake ambayo unajaribu kuifunikaHuyu jamaa alikua na roho mbaya just imagine derby ilikufa kabisa, kila zikikutana Simba na yanga unajua kabisa kolo anaenda kuchezea, kwa ufupi aliwafanya ubaya ubwela kua kapu la kuvunia point.
Inakuwaje kocha ambaye anaifunga Simba na kuchukua mataji anafukuzwa? Hilo ndilo swali la kujiuliza wana utopolo. Au uongozi haupendi kocha anayeleta mafanikio?Huyu jamaa alikua na roho mbaya just imagine derby ilikufa kabisa, kila zikikutana Simba na yanga unajua kabisa kolo anaenda kuchezea, kwa ufupi aliwafanya ubaya ubwela kua kapu la kuvunia point.
***** aliwageuza makolo kama chapati, na ninachokiona kocha wa simba atofika Christmas watampa mkono wa kwaeli then watamfata master GAMOND kuchukua mikoba yake.