Bora hata Azam FC alipiga on target nyingi Kwa APR kuliko Simba SC hii

Bora hata Azam FC alipiga on target nyingi Kwa APR kuliko Simba SC hii

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Uchambuzi wangu

Bora hata Azam tunaweza kusema walikufa kiume....Kwani walipambana Kwa kupiga mashuti mengi ambayo yalilenga lango japo hawakuwa na bahati.

Ila ndugu zangu makolo. Wana kikosi heavyweight cha thamani ya 7b billion.....lakini hawapiga suti hata Moja la kulenga goli [emoji848][emoji23]

Sasa uwanjani waliingia kufanya Nini???
JamiiForums-2098022966.jpg
 
Kwa hyo kwenye mechi ya jana yote umeona shots on target tu.
Zile chupa alizopigwa simba na mashabiki wa Tripoli ambao hawajapigiwa shots on target hata moja haukuona?
Ingekuwa shots on target ndo mpira waarabu wasingechukia
 
Kwa hyo kwenye mechi ya jana yote umeona shots on target tu.
Zile chupa alizopigwa simba na mashabiki wa Tripoli ambao hawajapigiwa shots on target hata moja haukuona?
Ingekuwa shots on target ndo mpira waarabu wasingechukia
Mashabiki wa al ahly tripoli walichukia kuona wanacheza na timu ambayo haijitumi
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Miso Misonda SC.
22. Kufa Kiume SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Miso Misonda SC.
22. Kufa Kiume SC. View attachment 3097589
Makolo [emoji23]
 
Ila yule Joshua Mutale naye Simba wamepigwa tu kama walivyopigwa kwa Steven Mukwara!! Yaani anakimbia kimbia tu uwanjani huku akiwa hana madhara yoyote yale golini!

Striker wao mpya raia wa Cameroun, walau ana kitu.
Ndo vizuri mkuu[emoji23]
 
Uchambuzi wangu

Bora hata Azam tunaweza kusema walikufa kiume....Kwani walipambana Kwa kupiga mashuti mengi ambayo yalilenga lango ....japo hawakuwa na bahati ....

Ila ndugu zangu makolo ......Wana kikosi heavyweight cha thamani ya 7b billion.....lakini hawapiga suti hata Moja la kulenga goli [emoji848][emoji23]

Sasa uwanjani waliingia kufanya Nini???View attachment 3097266
Mmehamia kwenye issue za shot on target🤣🤣the real definition of haters
 
Uto wenye akili ni wawili mtoa mada si miongoni mwao ndio maana wanabadili mada walikuwa na mabululu sasa hivi wanasema mipira iliyolenga lango.

Kwa muda huu siwashangai uto maana wenye akili ni wawili na hao wawili hawakomenti humu .kwahiyo uto wote wanaotupia mada humu na kukomenti ni hamnazo.
 
Back
Top Bottom