Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Serikali ni bora itowe huduma za afya bure kuliko elimu.
Fedha za elimu bure zihamishwe kwenye afya ili madawa na huduma kwa ujumla vipatikane kwa urahisi kwa kila raia.
Ukiwa na afya mgogoro hata hiyo elimu huwezi kuipata. Ada zirudishwe shule zote za serikali ila iwe kiasi kidogo sana na kila mwenye mtoto hadi kule vijijini aweze kupata elimu hiyo kwa gharama ndogo sana.
Iakini pendeza pia ni kupunguza matumizi ya magari ya bei ghali(V 8) posho mbali mbali watu wanazopokea ili fedha hizo ziende kwenye afya.
Ukitaka kujuwa umuhimi wa afya basi tembelea mahosipitalini.
Fedha za elimu bure zihamishwe kwenye afya ili madawa na huduma kwa ujumla vipatikane kwa urahisi kwa kila raia.
Ukiwa na afya mgogoro hata hiyo elimu huwezi kuipata. Ada zirudishwe shule zote za serikali ila iwe kiasi kidogo sana na kila mwenye mtoto hadi kule vijijini aweze kupata elimu hiyo kwa gharama ndogo sana.
Iakini pendeza pia ni kupunguza matumizi ya magari ya bei ghali(V 8) posho mbali mbali watu wanazopokea ili fedha hizo ziende kwenye afya.
Ukitaka kujuwa umuhimi wa afya basi tembelea mahosipitalini.