Wana JF hivi kipi ni bora zaidi kufanya kazi kwenye kampuni ndogo(Isiyojulikana) inayolipa vizuri au kufanya kazi kwenye kampuni kubwa(inayojulikana) inayolipa vibaya?Kuna jamaa yangu mmoja aliacha kazi Standard Chartered Bank ambapo alitoka mtupu akaenda kufanya kazi kwenye kampuni ndogo(isiyojulikana sana) kwa watu ila inamlipa vizuri na imemuwezesha kujenga, kununua gari pamoja na kuanzisha miradi mbalimbali.Je kijana alikuwa sahihi kufanya maamuzi magumu?