Wana JF hivi kipi ni bora zaidi kufanya kazi kwenye kampuni ndogo(Isiyojulikana) inayolipa vizuri au kufanya kazi kwenye kampuni kubwa(inayojulikana) inayolipa vibaya?Kuna jamaa yangu mmoja aliacha kazi Standard Chartered Bank ambapo alitoka mtupu akaenda kufanya kazi kwenye kampuni ndogo(isiyojulikana sana) kwa watu ila inamlipa vizuri na imemuwezesha kujenga, kununua gari pamoja na kuanzisha miradi mbalimbali.Je kijana alikuwa sahihi kufanya maamuzi magumu?
Wana JF hivi kipi ni bora zaidi kufanya kazi kwenye kampuni ndogo(Isiyojulikana) inayolipa vizuri au kufanya kazi kwenye kampuni kubwa(inayojulikana) inayolipa vibaya?Kuna jamaa yangu mmoja aliacha kazi Standard Chartered Bank ambapo alitoka mtupu akaenda kufanya kazi kwenye kampuni ndogo(isiyojulikana sana) kwa watu ila inamlipa vizuri na imemuwezesha kujenga, kununua gari pamoja na kuanzisha miradi mbalimbali.Je kijana alikuwa sahihi kufanya maamuzi magumu?
Hivi tunafanya kazi ili tujenge jina? au tupate mshahara?
Uamuzi mgumu uko wapi hapo mkuu? mimi naamini wengi wetu tunafanya kazi ili kuwa na uwezo wa kumudu mahitaji muhimu na sio kujulikana kwamba unafanya kazi kwenye kampuni kubwa!
Kwenye kazi siku zote unaangalia maslahi Kaka pamoja na job security!!
Sio unafanya kazi kwenye kampuni kubwa, wakubwa wanatoka matumbo wewe unakonda!!
Hayo yatakuwa sio maisha!!
nikweli kunarikapuni moja ra mafisadi wa kikanada rinajina ra kufa mtuu rakini nenda ukatinge uone bora ukauze genge arafu linauwa watingaji migongo acha watu tunakwesha chadema hoyeeee jiunge na chama la ukweli