"Watu wanasema Haji anaoa kila siku, ni kheri mimi mwenye wake wengi kuliko vijana wengi wenye michepuko 5 au 6 hadi wanawapangia majumba. Mimi nimechagua kutozini, naoa" - Haji Manara
Uzinzi ni gharama vijana wengi wange jua wange acha michepuko. Huwezi kutoboa maisha ukiwa mzinzi na kumbuka "heaven of man is ùnder a woman" raha ya mwanaume ni mwana mke, pombe sigara mpira bangi ni mbwembwe tu za kupunguza stress ila hazifikie raha ya mke halali....
Uzinzi ni gharama vijana wengi wange jua wange acha michepuko. Huwezi kutoboa maisha ukiwa mzinzi na kumbuka "heaven of man is ùnder a woman" raha ya mwanaume ni mwana mke, pombe sigara mpira bangi ni mbwembwe tu za kupunguza stress ila hazifikie raha ya mke halali....