Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
ayubu alishauriwa na mkewe amkufuru mungu ayubu akakataa. Ayubu akajazwa mali mara dufu.
Lutu alishauriwa na mkewe ageuke nyuma aangalie sodoma na gomora, lutu akakataa mkewe akageuzwa kuwa jiwe la chumvi.
Samson amlimsikiliza mkewe delila, akachukuliwa mateka, kutobolewa macho na kuteswa sana.
Adam alimsikiliza hawa, akatenda dhambi na kufukuzwa edem.
Jamani tusiwasikilize na kutii amri za wanawake tutaangamia.
Ayubu alishauriwa na mkewe amkufuru Mungu Ayubu akakataa. Ayubu akajazwa mali mara dufu.
Lutu alishauriwa na mkewe ageuke nyuma aangalie Sodoma na Gomora, Lutu akakataa mkewe akageuzwa kuwa jiwe la chumvi.
Samson amlimsikiliza mkewe Delila, akachukuliwa mateka, kutobolewa macho na kuteswa sana.
Adam alimsikiliza Hawa, akatenda dhambi na kufukuzwa Edem.
Jamani tusiwasikilize na kutii amri za wanawake tutaangamia.
mwanaume ni kichwa familia na mfumo dume ni muhimu hasa kwa hichi kizazi
Nashindilia zaidi.Ayubu alishauriwa na mkewe amkufuru Mungu Ayubu akakataa. Ayubu akajazwa mali mara dufu.
Lutu alishauriwa na mkewe ageuke nyuma aangalie Sodoma na Gomora, Lutu akakataa mkewe akageuzwa kuwa jiwe la chumvi.
Samson amlimsikiliza mkewe Delila, akachukuliwa mateka, kutobolewa macho na kuteswa sana.
Adam alimsikiliza Hawa, akatenda dhambi na kufukuzwa Edem.
Jamani tusiwasikilize na kutii amri za wanawake tutaangamia.
<br />Heshima yenu wakuu... Napita tu!
<br />Ayubu alishauriwa na mkewe amkufuru Mungu Ayubu akakataa. Ayubu akajazwa mali mara dufu.<br />
Lutu alishauriwa na mkewe ageuke nyuma aangalie Sodoma na Gomora, Lutu akakataa mkewe akageuzwa kuwa jiwe la chumvi.<br />
Samson amlimsikiliza mkewe Delila, akachukuliwa mateka, kutobolewa macho na kuteswa sana.<br />
Adam alimsikiliza Hawa, akatenda dhambi na kufukuzwa Edem.<br />
Jamani tusiwasikilize na kutii amri za wanawake tutaangamia.