green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Safi ndio maana nataka niishi kama panya magawaAchana na mapenzi
Ili ujigawiwe hayo magawa auSafi ndio maana nataka niishi kama panya magawa
Haha kivipi mkuuIli ujigawiwe hayo magawa au
Kamaanusha CHAPU.....Haha kivipi mkuu
Hata siku moja usitegemee mtu mwingine kama mpenzi nk.. kwamba atakupa furaha. Lazima uwe na maisha ambayo una furaha tu hata pasipo kumtegemea mtu. Binafsi $$$ imenipa furaha sana na uwezo wa kufanya mambo mengi pasipo kutegemea mtu mmoja kama mpenzi kunipa furaha. Therefore kwa kifupi, pambania maisha zaidi mkuu.. mambo ya mapenzi sio dunia ya leoKila mitego nnayoitega ninase japo bint wa kunifariji na hili life la bongo naishia kuambulia maumivu bora hata Afande Panya Magawa aliamua kuishi kama padri tu mpaka pale Mungu alipomchukua kaepuka kero nyingi ambazo mi napitia...
View attachment 2082735
Ndio nimeshanunua Jamaa miche 8Kamaanusha CHAPU.....
Yaani ujiunge na chama la wanawane CHAPU ....Haha kivipi mkuu
Sawa Mkuu nimejiungaa na miche 8Yaani ujiunge na chama la wanawane CHAPU ....
Kweli mkuu
Mbona unanicheka mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]