MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Nilishtushwa sana na tetesi zilizokjwa zinsema ronaldo to the citizen
Nikajisemea na vitimu vyetu hivi vibovu tutalia na kusaga meno
Mungu sio Ambagile cr7 huyo utd anateseka tu
timu hovyo kocha hovyo
kila mechi wanaruhusu mabao
wapo wazi nyuma wanaruhusu tu
Angeenda Man city timu za hovyo kama wale wa jana wangekula lungu nne bila majibu
Japo mimi nakiri ni hater wa ronaldo ila angeenda man cty ningenyooka sana
Nikajisemea na vitimu vyetu hivi vibovu tutalia na kusaga meno
Mungu sio Ambagile cr7 huyo utd anateseka tu
timu hovyo kocha hovyo
kila mechi wanaruhusu mabao
wapo wazi nyuma wanaruhusu tu
Angeenda Man city timu za hovyo kama wale wa jana wangekula lungu nne bila majibu
Japo mimi nakiri ni hater wa ronaldo ila angeenda man cty ningenyooka sana