Kilichokuwa 'Kiwanda cha Viatu (BORA)' kilibinafsishwa mid 90's. Wahindi waliokinunua kwa bei ya kutupa hawajawahi kutengeneza viatu toka enzi hizo, in fact mashine zote za kutengenezea viatu ziliuzwa kama scrap.
Hata hivyo, line za kutengeneza kandambili na tairi na tyubu za baisikeli ziliendelea kufanya kazi na bila shaka ziliimarishwa kwa kuwa uzalishaji uliongezeka na mauzo yanafanyika mpaka nchi za jirani (source: TRA).