Humu utapewa vitu vya kukuchanganya akili.Habari za Jumapili ....
Sera ya Nchi tunaambiwa "HAPA KAZI TU"
Mm ni KIBARUA katika kampuni Moja hivi ya Simu za Mikononi ....lakin mnajua maana ya kibarua unaweza ukaamka ukaambiwa "YOUR NO LONGER" Huna kazi !! Hakuna Mkataba wa Kudumu
Na pia Nina ada kabisa ya ya kulipia Chuo college Diploma miaka yote 3.. Je niipige Shule Chini Nibaki na Kazi pamoja na BIASHARA NIWEKEZE KATIKA
KUNUNUA MAZAO NIWEKE NDANI MAANA MWEZI WA KWANZA NA WAPILI NIPIGE BAO LA MAANA ???
Sijawahi kuona Sera inayosema Shule Shule Kwanza .....
Fursa2017
Aisee we jamaa ni shida kila ukicomment lazima umalizie na cc: mohondaw ndio moderator humu au?
Acha uoga...huu ndio wakati sahihi wa kuacha kazi hasa kama umeajiriwa...Awamu hii siyo yakuacha kazi mkuu ikiwezekana soma night mchana nenda kazini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa ndo mnavyo Danganyana?Awamu hii siyo yakuacha kazi mkuu ikiwezekana soma night mchana nenda kazini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu mwambie mkuuAcha uoga...huu ndio wakati sahihi wa kuacha kazi hasa kama umeajiriwa...
by the way sijajua mtoa mada anasoma shule gani..nadhani ni bachelor degree...
ingekua masters programme angeweza kusoma huku anafanya ajira ila bachelor nashauri uache kazi ukasome ukimaliza njoo tujiajiri mtaani.
maana hata ajira zenyewe hazilipi watu kila siku wanalia njaa na kuishi kwa hofu ya kutumbuliwa...WATUMWA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivipi? Ma profesa wasingekuwa wanalilia kuanza kufundisha kwa mkataba baada ya kustafuMaisha hayana formula.
Ila mtu aliyesoma maisha kutabirika ni rahisi sana kuliko mwenye shule zero.
Kivipi? Ma profesa wasingekuwa wanalilia kuanza kufundisha kwa mkataba baada ya kustafu
Sent using Jamii Forums mobile app