Bora tutumie Lugha ya Kiingereza ndiyo iwe Lugha ya Taifa

Bora tutumie Lugha ya Kiingereza ndiyo iwe Lugha ya Taifa

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Mfumo wa Serikali upo kwa Kingereza.

Documents za Serikali zipo kwa lugha ya kingereza. mimi kwa mtazamo wangu ni Bora tutumie Lugha ya kingereza ndiyo iwe Lugha ya Taifa.

Tuachane na Kiswahili. Lugha ya Taifa ikiwa kingereza, tutakua tumepiga Hatua kubwa sana kwenye mawasiliano Duniani kote.

Documents Za Serikali ni kingereza, hii dhahili kua kingereza ndo lugha ya Serikali.

Note: Kama kiswahili kingekua na umuhimu documents za Serikali yako zingeandikwa kiswahili sasa Jiulize kwa nn wasitumie Kiswahili, kama kiswahili ni Mihimu
 
Mbona tayari kiingereza ni lugha ya taifa. Nyaraka nyingi za serikali zimeandikwa kwa kiingereza. Kiswahili ni lugha ya kienyeji tu wenyeji wa tanzania wanaitumia. Mkoloni mwingereza alishaisimika kitambo sana kama ilivyo kwa mwenzake mfaransa na mreno katika makoloni yake. Ni tanzania tu ndiyo iliamua lugha ya kienyeji kiswahili kuwa lugha ya taifa. Makoloni mengine yaliendelea kutumia lugha ya mkoloni wao hadi sasa licha kuwa na lugha za kienyeji
 
Back
Top Bottom