Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
ππππππAmechotwa akili na kusahaulishwa asili yake ndio maana anaambukizwa tamaduni za ajabu km ushoga na ugaidi ambazo sio tamaduni za Mwafrika, hajui hata aliekiandika hio biblia ni huyo huyo Mzungu na kwenye Mzungu akatoka Z ikawa Mungu
Sio tamaduni ya Mwafrika kumwabudu Yesu hio tamaduni imeletwa na Wamisionari sasa unakataa nini unabishana na ukweli wewe Babu yako mzaa Babu wa Babu yako anakusikitikia pale kwenye kaburi lake kwamba umepotoka kwa kufuata tamaduni ulizoletewa na wazungu na kuachana na tamaduni zako za asili sasa wanataka uwe ShogaMzungu mwenye kahubiriwa, Christianity imetoka middle east, wazungu wanapatikana middle east sio??
Hio lugha ya Gee'ez wazungu walikuwa wanaijua sio??
Hivi ishu ya kupinga ushoga ni ipo kiimani zaidi au kiafya ...?Ndo ivo mkuu, kwani ushoga sasa hivi haupo??
Pamoja na kua majority hatupo huko lakini hakuna asiejua kua nchi hii pia inanuka nnya za kiume.?
Vipi mmoja wetu akajitosa kusaka data sahihi, si atakutana na balaa.
Sio tamaduni za Mwafrika kufanyana mashoga,Hivi ishu ya kupinga ushoga ni ipo kiimani zaidi au kiafya ...?
Nijue hapo tu..
Seen.Sio tamaduni ya Mwafrika kumwabudu Yesu hio tamaduni imeletwa na Wamisionari sasa unakataa nini unabishana na ukweli wewe Babu yako mzaa Babu wa Babu yako anakusikitikia pale kwenye kaburi lake kwamba umepotoka kwa kufuata tamaduni ulizoletewa na wazungu na kuachana na tamaduni zako za asili sasa wanataka uwe Shoga
Brother hivi unajua tamaduni za kiafrika za zamani??Sio tamaduni ya Mwafrika kumwabudu Yesu hio tamaduni imeletwa na Wamisionari sasa unakataa nini unabishana na ukweli wewe Babu yako mzaa Babu wa Babu yako anakusikitikia pale kwenye kaburi lake kwamba umepotoka kwa kufuata tamaduni ulizoletewa na wazungu na kuachana na tamaduni zako za asili sasa wanataka uwe Shoga
Kumbe africa tunapinga ushoga kutokana na tamaduni... Hapo nimeelewa sasa...Sio tamaduni za Mwafrika kufanyana mashoga,
Zamani ya zamani ya zamani ya Zama hizo sio zamani tu, wewe zamani ulikuepo?Brother hivi unajua tamaduni za kiafrika za zamani??
Injili gani wewe.Tunawashukuru wazungu kwa kutuletea injili. Mungu hawabariki mamishenari wa mwanzo kwa kutuletea nuru na habari njema ya Yesu.
Mzuka wanajamvi.
Wagalatia tusikubali kabisa mambo ya wazungu sasa hivi ya ushoga yafike hadi Africa.
Tunawashukuru wazungu kwa kutuletea injili. Mungu hawabariki mamishenari wa mwanzo kwa kutuletea nuru na habari njema ya Yesu.
Lakini sasa hivi watuache tumuabudu Yesu kwa usahihi na utashi wetu. HATUTAKI USHOGA.
Hongera viongozi wa kikristo Africa, Asia na Latin America kusimama thabiti kusimamia misingi thabiti ya uadilifu katika imani ya kweli na upendo.
Yani bora tu ugaidi kuliko ushoga. Wagalatia tunapitia wakati mgumu sana. Yani kila ukipangua hoja za kina adriz na Ritz wanakuambia nenda ukabarikiwe basi unabaki umenyong'onyea.
JESUS HELP US
""Tukatae mpaka dini""Injili gani wewe.
Wameondoa fikra huru kwa kuleta hizo hadithi. Mtu hawezi kutumia akili kila kitu anaita damu ya yesu imkomboe, si ujinga huo?
Tukatae mpaka dini.
Sio tamaduni za Mwafrika kufanyana mashoga hizo ni tamaduni zao huko huko wanataka waafrika nao wazifuate Sawa Buddha Babu yako mzaa Babu wa Babu wa Babu wa Babu yako mzaa wa Babu yako angekua Shoga tusingesikia wala kukuona ukitype hapa,Kumbe africa tunapinga ushoga kutokana na tamaduni... Hapo nimeelewa sasa...
Japo suala hili watu wanahusha na dini sasa
Astakafillah πππππππππSio tamaduni za Mwafrika kufanyana mashoga hizo ni tamaduni zao huko huko wanataka waafrika nao wazifuate Sawa Buddha Babu yako mzaa Babu wa Babu wa Babu wa Babu yako mzaa wa Babu yako angekua Shoga tusingesikia wala kukuona ukitype hapa,
Kama mm sikuwepo na wewe hukuwepo, wewe umezijuaje??Zamani ya zamani ya zamani ya Zama hizo sio zamani tu, wewe zamani ulikuepo?
Historia inaishi na kuishia miaka baada ya miaka, wewe wa wapi haujui tamaduni za kwenu?Kama mm sikuwepo na wewe hukuwepo, wewe umezijuaje??
Kibongobongo ipo kiimani zaidi sio kiafya.Hivi ishu ya kupinga ushoga ni ipo kiimani zaidi au kiafya ...?
Nijue hapo tu..
Kwahyo kuna wapagani wao show show si ndio hvyo eeehKibongobongo ipo kiimani zaidi sio kiafya.
Maghayo, unawasaidia magaidi kwamba ni afadhali kuliko ushoga!? Hapo hakuna kinachokubalika usidanganywe na ahadi za kupewa mabikra 72 ukaona afadhali ugaidi. Subiri siku wale waliouwa wanafunzi 150 wa kikristo kule garisa kenya wavamie hapo unapobeba box tuone kama utakuja kusema ni afadhali.Mzuka wanajamvi.
Wagalatia tusikubali kabisa mambo ya wazungu sasa hivi ya ushoga yafike hadi Africa.
Tunawashukuru wazungu kwa kutuletea injili. Mungu hawabariki mamishenari wa mwanzo kwa kutuletea nuru na habari njema ya Yesu.
Lakini sasa hivi watuache tumuabudu Yesu kwa usahihi na utashi wetu. HATUTAKI USHOGA.
Hongera viongozi wa kikristo Africa, Asia na Latin America kusimama thabiti kusimamia misingi thabiti ya uadilifu katika imani ya kweli na upendo.
Yani bora tu ugaidi kuliko ushoga. Wagalatia tunapitia wakati mgumu sana. Yani kila ukipangua hoja za kina adriz na Ritz wanakuambia nenda ukabarikiwe basi unabaki umenyong'onyea.
JESUS HELP US