unque bin unuq
JF-Expert Member
- Apr 20, 2017
- 350
- 456
Ha ha haKijana mmoja mwenye macho makubwa alikuwa na msihana wake. Siku moja akaulizwa na dem wake sababu gani ilimfanya awe na macho makubwa namna hiyo. Kijana akafikiri kwa haraka haraka akaja na jibu " Unajua mie wakati ni mdogo nilikuwa ninalia sana, sasa hii ilipelekea macho kuwa makubwa." Yule dada akamwangalia kwa huzuni na nikusema " Too bad. Heri utotoni ungelikuwa UNAKOJOA SANA."
Nadhani anajua yeye alimaanisha niniHa ha ha
Kwa hiyo jamaa ana kibamia ,ina maana angekuwa anakojoa kutoka utotoni huku ukubwani angekuwa na dushe kubwa au? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]