kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Vijana mnalochaguo moja tu Tanzania. Aidha, ujiajiri ubaki kusimamia unachoamini kwa utashi wako Ni sahihi au uajiriwe uelekzwe nini uamini na kutenda.
Awali tumejionea vijana wasio na miradi yakueleweka walivyonyanyaswa. Na kundi hili kwa kuona aibu kila likisikia njaa likiwa upande mmoja uhamia upande wa pili na adaa kibao. Leo Kuna watu tunaaminishwa eti ni watu wa system kumbe siyo watu wakuaminika niviumbe waliochezea ujana wao kwa kushindwa kujiajiri wakajielekeza kuajiriwa.
Meya Jacob anauza mayai na yupo uru na mayai yake, wakati akina Mashinji, Nasary ,kalisti,Slaa wakiwa wameajiriwa lakini Awana Uhuru wakusema. Si kwamba wanakosa la kusema ila kwao ajira inawafunga mdomo. Kila siku wanaomba wateuaji wasiingiwe na roho ya kutengua.
Kwanini ujidhalilishe? Bora uuze mayai kuliko ajira inayosimamisha maisha yako na kuruhusu uishi maisha ya paymaster
Vijana na wazee tafteni miradi mwajiri watu siyo kusubiri uteuzi.
Awali tumejionea vijana wasio na miradi yakueleweka walivyonyanyaswa. Na kundi hili kwa kuona aibu kila likisikia njaa likiwa upande mmoja uhamia upande wa pili na adaa kibao. Leo Kuna watu tunaaminishwa eti ni watu wa system kumbe siyo watu wakuaminika niviumbe waliochezea ujana wao kwa kushindwa kujiajiri wakajielekeza kuajiriwa.
Meya Jacob anauza mayai na yupo uru na mayai yake, wakati akina Mashinji, Nasary ,kalisti,Slaa wakiwa wameajiriwa lakini Awana Uhuru wakusema. Si kwamba wanakosa la kusema ila kwao ajira inawafunga mdomo. Kila siku wanaomba wateuaji wasiingiwe na roho ya kutengua.
Kwanini ujidhalilishe? Bora uuze mayai kuliko ajira inayosimamisha maisha yako na kuruhusu uishi maisha ya paymaster
Vijana na wazee tafteni miradi mwajiri watu siyo kusubiri uteuzi.