Border ya Kusini ya USA imekuwa crisis. Makundi ya wazamiaji yaongezeka haijawahi tokea

Border ya Kusini ya USA imekuwa crisis. Makundi ya wazamiaji yaongezeka haijawahi tokea

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Kwa kipindi hiki cha Biden, kumekuwa kuna ongezeko kubwa la kihistoria la wahamiaji waonajaribu na wengine wengi kufanikiwa kuingia USA.

Kwa uchunguzi wa hivi karibuni wamegundua kuwa makundi ya uharifu na nchi nyingine wanatumia fursa hii kuzamisha waharifu, magaidi na majasusi.


Screenshot_20231101_084527_Firefox.jpg
Screenshot_20231101_084506_Firefox.jpg
Screenshot_20231101_084427_Firefox.jpg
Screenshot_20231101_084345_Firefox.jpg
 
Back
Top Bottom