Boresha Dodoma iwe kama WindHoek

Boresha Dodoma iwe kama WindHoek

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Nimeona tayari ikulu kama imeshaisha Dodoma.

Nawapongeza Dodoma city kwa mpango miji walioufanya, aina za nyumba, kuna maeneo ukienda utakuta nyumba zote rangi moja. Tunaomba sasa Mh. Rais aboreshe zile barabara, sio viwe vibarabara vidogovidogo kama vya miji ya kibongo, tunao uwezo kuifanya Dodoma iwe kama Windhoek kabisa.

Barabara ziwekewe lami na ziwe pana, taa za barabarani n.k. pia huduma ya maji toka ziwa victoria ifanyike ili kusiwe na shida ya maji kama ilivyo desturi ya Dodoma.

Windhoek Namibia.jpg
 
Usilinganishe hiyo Dodoma yako na vitu vya maana wewe, jiangalie sana yani kuishi hapo nkuhungu ndio unajiona umefiiika , hamna kitu huko.
hamna kitu lakini tunaweza kuifanya kuwa kitu. pia usifikiri kila mtu wa dom, wengine hapo huja kwa matembezi tu.
 
nimeona tayari ikulu kama imeshaisha Dodoma. nawapongeza Dodoma city kwa mpango miji walioufanya, aina za nyumba, kuna maeneo ukienda utakuta nyumba zote rangi moja. tunaomba sasa Mh. Rais aboreshe zile barabara, sio viwe vibarabara vidogovidogo kama vya miji ya kibongo, tunao uwezo kuifanya Dodoma iwe kama Windhoek kabisa. barabara ziwekewe lami na ziwe pana, taa za barabarani n.k.pia huduma ya maji toka ziwa victoria ifanyike ili kusiwe na shida ya maji kama ilivyo desturi ya dodoma.
View attachment 2256108
Nasikia mwenye huo mjengo pichani kwenye mzunguko aligoma kubomoa wao wakaamua kuzungusha barabara awe katikati.
Una uhakika kipato cha huko WH ni sawa na Dom? Huko hawashindii ubuyu na karanga mbichi.
 
Nimeona tayari ikulu kama imeshaisha Dodoma.

Nawapongeza Dodoma city kwa mpango miji walioufanya, aina za nyumba, kuna maeneo ukienda utakuta nyumba zote rangi moja. Tunaomba sasa Mh. Rais aboreshe zile barabara, sio viwe vibarabara vidogovidogo kama vya miji ya kibongo, tunao uwezo kuifanya Dodoma iwe kama Windhoek kabisa.

Barabara ziwekewe lami na ziwe pana, taa za barabarani n.k. pia huduma ya maji toka ziwa victoria ifanyike ili kusiwe na shida ya maji kama ilivyo desturi ya Dodoma.

View attachment 2256108
Shida ya Maji itakwisha by 2025 kwa kukamilika kwa Bwawa la Farkwa ambalo limeanza ujenzi..

Maji ya Ziwa Victoria ni swala la mradi mrefu zaidi.
 
Nasikia mwenye huo mjengo pichani kwenye mzunguko aligoma kubomoa wao wakaamua kuzungusha barabara awe katikati.
Una uhakika kipato cha huko WH ni sawa na Dom? Huko hawashindii ubuyu na karanga mbichi.
huo mjengo ni kanisa, sio jengo la mtu binafsi. kuhusu kipato, unaweza kushangazwa kwamba Dodoma sasaivi kipato sio kama cha zamani, and as mji utakavyoboreshwa panaweza pasiwe na utofauti sana.
 
Usilinganishe hiyo Dodoma yako na vitu vya maana wewe, jiangalie sana yani kuishi hapo nkuhungu ndio unajiona umefiiika, hamna kitu huko.
Acha kumkatisha tamaa mkuu,tukiwa serious inawezekana kabisa,na hii kampeni ya kupanda miti kama ikifanikiwa inawezekana kabisa Dodoma kuwa green na kupendeza sana.Karibu mnadani kesho mkuu tukatafune nyama kidogo...
 
Nimeona tayari ikulu kama imeshaisha Dodoma.

Nawapongeza Dodoma city kwa mpango miji walioufanya, aina za nyumba, kuna maeneo ukienda utakuta nyumba zote rangi moja. Tunaomba sasa Mh. Rais aboreshe zile barabara, sio viwe vibarabara vidogovidogo kama vya miji ya kibongo, tunao uwezo kuifanya Dodoma iwe kama Windhoek kabisa.

Barabara ziwekewe lami na ziwe pana, taa za barabarani n.k. pia huduma ya maji toka ziwa victoria ifanyike ili kusiwe na shida ya maji kama ilivyo desturi ya Dodoma.

View attachment 2256108
Umesahau kuweka picha ya SWASWA ili twende sawa na Windhoek
 
huo mjengo ni kanisa, sio jengo la mtu binafsi. kuhusu kipato, unaweza kushangazwa kwamba Dodoma sasaivi kipato sio kama cha zamani, and as mji utakavyoboreshwa panaweza pasiwe na utofauti sana.
Hata hapa nchini ipo misikiti ambayo wenyewe waligoma kuibomoa, mwenyewe si lazima awe mtu mmoja.
 
Back
Top Bottom