AMLIGHT
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 1,140
- 843
Msaada hapa, nina bosi wangu kazni ambaya kwa siku anaweza piga simu hmu hata mara 6 kumwambia tu housegirl afanye hiki au kile, pia humtukana na kusema kuwa ni mchawi, hana akili, mchafu, na wakati mwngne kuwa anamharibia watoto wake.
Kuna cku alimpgia cm hyo dada hakupokea, akaapa akienda atampga hasa, na kamkataza kutoka nyumbani, kwamb muda wote akae nyumbani.
Ingawa pia anasema huyo hgirl n malaya na huleta wanaume palepale nyumbani.
Ukweli, siipendi tabia ya huyu bosi wangu, na nataka kumsaidia huyo hgirl wake (japo ukweli, cmfaham na cjawah mwona, lakn nahc tu kuwa ananyanyasika sana), nifanyaje, kuna popote naweza sema, akasaidiwa? Na, kuna uwezekano kuwa maneno tu yakamsaidia au mpk vithbtisho? Itakuwaje kama hgrl akasema huwa hanyanyaswi (wengne huvumilia, kwa sbb ya familia watokayo)..
Ila kiukweli, nahc yule hsgrl alinunuliwa cm ili atukanwe, achambwe na adhalilishwe kirahc zaid, co kwa ajili ya mawasiliano!
Kuna cku alimpgia cm hyo dada hakupokea, akaapa akienda atampga hasa, na kamkataza kutoka nyumbani, kwamb muda wote akae nyumbani.
Ingawa pia anasema huyo hgirl n malaya na huleta wanaume palepale nyumbani.
Ukweli, siipendi tabia ya huyu bosi wangu, na nataka kumsaidia huyo hgirl wake (japo ukweli, cmfaham na cjawah mwona, lakn nahc tu kuwa ananyanyasika sana), nifanyaje, kuna popote naweza sema, akasaidiwa? Na, kuna uwezekano kuwa maneno tu yakamsaidia au mpk vithbtisho? Itakuwaje kama hgrl akasema huwa hanyanyaswi (wengne huvumilia, kwa sbb ya familia watokayo)..
Ila kiukweli, nahc yule hsgrl alinunuliwa cm ili atukanwe, achambwe na adhalilishwe kirahc zaid, co kwa ajili ya mawasiliano!