[emoji28]Kama umeshindwa kuelewa hapo kadai ada shule uliyosoma haikua na mwalim Wa kiswahili
Kama unajua nimaisha yake binafsi, na tatizo lako ni kwa dada zako, sema na dada zako waache kumshobokea.Mara nyingi vijana wengi huiga mifano mizuri ya mabosi wao. Bosi huyu sasa ana umri wa miaka 47 licha ya kuonekana kama mti mkavu.
Katika umri huo hana mpango wa kuoa bali ku hang out na mabinti tofauti. Alianza kula wafanyakazi wake kama bint Embe, bint aliamini angefunga ndoa na bosi huyo kabla ya kumfukuza kazi pamoja na kijana makatuni.
Bosi huyo kaendelea kuchafua kwa kumzalisha mtumishi wake bint Mstimu watoto wawili.
My take: Najua kuwa ni maisha yake binafsi lakini unatuumiza unapowazini Dada zetu na kuwatupa, umempotezea muda sana bint Embe.
Tehe tehe, eti binti Embe....Poor Fina.Mzee wa fursa
Ni hivyo tu! Mengine umbea tu!!Kamaunajua nimaisha yake binafsi, na tatizolakoni kwa dada zako,sema na dada zako waache kumshobokea.
mawinguni wamejaa wahuni watupu
Kama umeshindwa kuelewa hapo kadai ada shule uliyosoma haikua na mwalim Wa kiswahili
πππMbona yule Boss Many ndio kwanza kavuta kitu kibichi...kuna dhambi gani Msela akasubiri muda muafaka naye akavuta jiko lake? mbona bado mapema tu?
Alafu hakunaga kitu kinaitwa "kuchezea"....hao ni binadamu wenye akili zao timamu sio Wanasesere, sasa wanachezewa vipi?...nao huingia shambani kuvuna wakiwa na akili zao timamu ati...ni win win situation.