Bosi mpya vodacom

Bosi mpya vodacom

C.T.U

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2011
Posts
5,074
Reaction score
3,743
Vodacom wamepata bosi mpya ambaye anaelekea hataki mchezo na anaonekana he is smart sio kama yule kilaza aliyepita
 
Vodacom wamepata bosi mpya ambaye anaelekea hataki mchezo na anaonekana he is smart sio kama yule kilaza aliyepita

asante lakini wewe ni nani mpaka umuite bosi wa kampuni ni kilaza
 
kwanza unaonesha hujui hata kutoa taarifa,bosi mpya nani?
 
huyo amezoea mchezo kwenye kazi ndio wanaotufanya tuonekane hatufanyi wa TZ na viongozin wetu wanatuponda hadharani, teeeeh teeeeeh weka sura yake baaasssii
 
Walipe kodi kwanza vodacom wezi wa uchumi wetu
 
Huyu ametumwa. Bosi wa Voda ananihusu nini mimi Mtanzania wakat kodi hawataki kulipa?. Waanze kulipa kodi kwanza.
 
Bosi mpya huh?? Kwani yule wakwanza amefukuzwa? Au kastaafu, ni mzungu au afro,
 
Back
Top Bottom