Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Beberu wa KQ mikosz ameamua kujiuzuru baada ya kupiga hela ndefu.
Shirika limewachwa bwege halina kiongozi
Shirika limewachwa bwege halina kiongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzungu au mhindi?Beberu wa KQ mikosz ameamua kujiuzuru baada ya kupiga hela ndefu.
Shirika limewachwa bwege halina kiongoziView attachment 1106710
Mudhungu wa polandHuyu mzungu au mhindi?
Of all experts/intellectuals in the management of aviation industry in the world ndio atoke PolandMudhungu wa poland
Huyu mzungu au mhindi?
Sio kandarasi ni mkataba ... #teamhujuikingerezawalakiswahili .....Acha niwafafanulie hawa #TeamKiingerezaKilikujaKwaMeli. Mikosz amepeana notisi kwamba atajiuzuru mwisho wa mwaka huu, Des. 31, 2019. Miezi mitano kabla ya muda wa kandarasi yake ya miaka mitatu kuisha.
Acha niwafafanulie hawa #TeamKiingerezaKilikujaKwaMeli. Mikosz amepeana notisi kwamba atajiuzuru mwisho wa mwaka huu, Des. 31, 2019. Miezi mitano kabla ya muda wa kandarasi yake ya miaka mitatu kuisha.
Niliandika kwa haraka na tayari nimerekebisha. Ila nadhani umeelewa 'facts' kama zilivyo.Sio kandarasi ni mkataba ... #teamhujuikingerezawalakiswahili .....
#wasalimiekiberaNiliandika kwa haraka na tayari nimerekebisha. Ila nadhani umeelewa 'facts' kama zilivyo.
Niliandika kwa haraka na tayari nimerekebisha. Ila nadhani umeelewa 'facts' kama zilivyo.
Nawe wasalimie hapo kwenu kwenye dampo la Hyena Square, Manzese.#wasalimiekibera
Una nyege sio bure, nimemrekebisha nani?Unarekebisha wenzio ikiwa na wewe hujui[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]