Tetesi: Bosi wa KQ ajiuzulu

Mkikuyu- Akili timamu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
4,310
Reaction score
7,465
Beberu wa KQ mikosz ameamua kujiuzuru baada ya kupiga hela ndefu.
Shirika limewachwa bwege halina kiongozi
 
Acha niwafafanulie hawa #TeamKiingerezaKilikujaKwaMeli. Mikosz amepeana notisi kwamba atajiuzulu mwisho wa mwaka huu, Des. 31, 2019. Miezi mitano kabla ya muda wa mkataba wake na KQ kuisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…