Bosi wangu kanipa mkataba wa kazi ambao ni kinyume na makubaliano halisi ya kazi

Kwa hiyo baada ya kuongea wenyewe umeona uje uniseme huku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatariiii umeyapata wap haya maelezo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ujanja ujanja hapo!

Mwisho wa siku wewe na huyo muajiri wako mtatandikwa shitaka la uhujumu uchumi na kukwepa kodi halali za serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…