LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Boss wasim sijakusahau kabisa, yaani wewe ulikuwa ni wakunilipa elfu 20 Nile kwa mwezi mzima, halafu chakula ni kwa mama ntilie, tena pale posta kati mtaa wa idiraghand, tena nilikuwa nafanya kazi masaa 24 yaani mchana nasambaza gesi usiku nakuwa mlinzi.
Tena hata hako kakirikuu cha kusambazia gesi ulifunga milango yote na kufuli ili hata nisiweze kulala humo, tena naikumbuka ile siku umemtuma mama yako aje anijaribu ukifikiri sikujuaga mpaka Leo,
Na ukaona haitoshi mkanifanya mfanya kazi wenu wa ndani, yaani unaniagiza nikafanye usafi halafu sharti nisiongee na wadogo zako wakike, ukifikiri ntawatongoza,
Siku ambayo sitaisahau, baba yako aliniagiza kariakoo nikanoe visu, ninunue na muhindi wa mia 5 kutokana na kulala njaa siku moja nikasema ninywe hata maji ya kandoro ya 100 cha ajabu nilipofika kwa baba yako na kumpa mizigo yake aliponidai chenji nikampa na nikamwambia mia nimekunywa maji, sikutegemea, baada ya kuniambia nimekula hela ya kampuni hivo napaswa kuirudisha na wewe ukiunga mkono kabisa.
Nilipitia mengi ndani ya mwezi mmoja japo mwezi haukuisha, ila wahindi punguzeni kutudharau sisi watanzania, mbona sisi tunawapenda tu.
Tena hata hako kakirikuu cha kusambazia gesi ulifunga milango yote na kufuli ili hata nisiweze kulala humo, tena naikumbuka ile siku umemtuma mama yako aje anijaribu ukifikiri sikujuaga mpaka Leo,
Na ukaona haitoshi mkanifanya mfanya kazi wenu wa ndani, yaani unaniagiza nikafanye usafi halafu sharti nisiongee na wadogo zako wakike, ukifikiri ntawatongoza,
Siku ambayo sitaisahau, baba yako aliniagiza kariakoo nikanoe visu, ninunue na muhindi wa mia 5 kutokana na kulala njaa siku moja nikasema ninywe hata maji ya kandoro ya 100 cha ajabu nilipofika kwa baba yako na kumpa mizigo yake aliponidai chenji nikampa na nikamwambia mia nimekunywa maji, sikutegemea, baada ya kuniambia nimekula hela ya kampuni hivo napaswa kuirudisha na wewe ukiunga mkono kabisa.
Nilipitia mengi ndani ya mwezi mmoja japo mwezi haukuisha, ila wahindi punguzeni kutudharau sisi watanzania, mbona sisi tunawapenda tu.