Bosi ya Facebook ajibu swali kuhusu kuvaa t-shirt ya aina moja mara zote

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Ni swali ambalo Waandishi wengi waliwahi kutamani kupata time ya kumuuliza ambapo kwa bahati nzuri kaulizwa kwenye kipindi cha maswali na majibu na akatoa jibu akiwa na tabasamu zito kabisa.

‘Nimepata hii bahati ya kipekee kuwa kwenye nafasi niliyonayo, ninaamka kila siku na kuwahudumia zaidi ya watu bilioni moja duniani… naona sitofanya kazi yangu vizuri kama nitatumia muda wangu kwenda kutafuta/kuchagua nguo nzuri, tshirt mnayoniona nayo ni ya rangi moja lakini nilizinunua nyingi za namna hii’

‘Ni Tshirt ambayo sio moja… ninazo nyingi ila zinafanana, muda wangu mwingi nimeutenga kwa ajili ya kuhudumia watu na sio kujihudumia mimi kwenye kuchagua nguo nzuri, mavazi ni kitu kidogo sana kwangu’
 
Bora yeye maana wengine hapa kwetu wana nguo nyingi za thamani zaidi ya kujenga
 
Akiacha kuvaa hiyo, watumiaji watapungua.....masharti noma sana
 

Attachments

  • 1415526025767.jpg
    31.2 KB · Views: 1,317
Wewe utafiti mbona sasa picha haionekani?
 
Last edited by a moderator:

Hahaha huyo jamaa ana akili sana
 
sisi masikini ndio huwa tunahangaika na mavazi,ila wenye nazo na ambao wanatumia akili zao(sio wauza poda) hawasumbuki na mavazi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…