Boss akifutwa kazi, chawa anakuwa na neno gani la kumpa

Boss akifutwa kazi, chawa anakuwa na neno gani la kumpa

DMmasi

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2020
Posts
561
Reaction score
900
hivi boss akifutwa kazi chawa anakuwa na neno gani la kumpa
kutoka kwenye tajiri huna baya, ukifa huozi, tutajenga sanamu lako point X

kituo kinachofata huwa na wapi wananzengo
 
Tabu iko kwa wale uliokuwa unawasilibia mwanzo mbaya sasa washike kitengo wao,dunia inahamia mars mbona
 
Boss wa kuigiza au wa mchongo huyo, boss afutwi kazi
 
Aisee hakuna kitu ambacho nilishakikataa tangu nilipojitambua ni UCHAWA
 
Kazi ya chawa ni kwendana na biti, boss anapo fukuzwa chawa pia humgeuka na kuanza kumponda
 
Awe na neno gani basi cha zaidi atatafuta pengine pa kujipendekeza ili apate kuendeleza uchawa wake.
 
Back
Top Bottom