Nigga What
Senior Member
- May 1, 2021
- 164
- 448
Msaada kwa mdau rafiki yetu
Nimejikuta njia panda baada ya meneja wa kampuni yetu (Mwanamke) kuniwekea mazingira magumu kwenye swala langu la kuoa. Hivi karibuni niliitisha michango ofisini kwetu kwa ajili ya ndoa ambayo nakaribia kuifunga soon, wafanyakazi wote walifurahi na kuahidi kutoa michango ya kutosha kasoro boss wangu ambaye amekuwa kinyume sana na swala langu la kuuoa
Sijawahi kutembea nae, wala kuwa na mahusiano mengine nje ya kazi lakini amekuwa na wivu sana mpaka inafikia wakati hanipi ruhusa kwenda kwenye mafundisho ya ndoa na hata jumamosi ananipangia majukumu nikose muda.
Mwezi uliopita tulipangiwa tuende kwenye uzinduzi wa tawi letu jipya la kampuni basi akaniweka kama mtu muhimu kuhudhuria uzinduzi huo pale Singida kila mtu alishangaa maana sikutakiwa kuhudhuria kutokana na position yangu.
Nashindwa kulalamika kwa mkurugenzi sababu meneja huwa anifavour sana zinapotokea posho ofisini ( hii ni kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa), mafuta ya kavits kangu town amenisaidia sana, mikopo n.k
Nimekosa raha sana ni kama ananikomoa , ni mke wa mtu na anawatoto na pia amenizidi umri. Wengi wamenishauri nimuulize ni kwanini anafanya hivyo lakini nahisi ntachochea moto
Naombeni msaada wa kimawazo kwani swala hili linanitesa ndugu zangu
Nimejikuta njia panda baada ya meneja wa kampuni yetu (Mwanamke) kuniwekea mazingira magumu kwenye swala langu la kuoa. Hivi karibuni niliitisha michango ofisini kwetu kwa ajili ya ndoa ambayo nakaribia kuifunga soon, wafanyakazi wote walifurahi na kuahidi kutoa michango ya kutosha kasoro boss wangu ambaye amekuwa kinyume sana na swala langu la kuuoa
Sijawahi kutembea nae, wala kuwa na mahusiano mengine nje ya kazi lakini amekuwa na wivu sana mpaka inafikia wakati hanipi ruhusa kwenda kwenye mafundisho ya ndoa na hata jumamosi ananipangia majukumu nikose muda.
Mwezi uliopita tulipangiwa tuende kwenye uzinduzi wa tawi letu jipya la kampuni basi akaniweka kama mtu muhimu kuhudhuria uzinduzi huo pale Singida kila mtu alishangaa maana sikutakiwa kuhudhuria kutokana na position yangu.
Nashindwa kulalamika kwa mkurugenzi sababu meneja huwa anifavour sana zinapotokea posho ofisini ( hii ni kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa), mafuta ya kavits kangu town amenisaidia sana, mikopo n.k
Nimekosa raha sana ni kama ananikomoa , ni mke wa mtu na anawatoto na pia amenizidi umri. Wengi wamenishauri nimuulize ni kwanini anafanya hivyo lakini nahisi ntachochea moto
Naombeni msaada wa kimawazo kwani swala hili linanitesa ndugu zangu