Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Suluhisho ni wote wajiajiri huo ndio ubosi halisi.Aise labda kama siyo Supervisor wake au mtu ambaye amemzidi cheo,maana unaweza jikuta kibarua kimeota nyashi kwa utovu wa nidhamu tu,ambapo ungeweza kukausha tu na usipungukiwe chochote kwa wakati huo,Muda mwingine ukimya ni bora kuliko maneno
Mtumishi akikosea utaratibu mwache apige kazi Ili asivuruge wateja then jioni baada ya kazi ndo muite mkaripie
Kama ndio yule uliemtongoza acha akufokee tu.
Kuna sehemu nlifanya kazi part time boss alikua mkorofi huyo mama.....Kuna jamaa alifanya makosa mi nkapiga kimya aiseee aliniwakia mpaka watu wengn wakainamisha vichwa chini
Nilikuwa na boss wa aina hiyo. Siku moja nipo na mke wangu mara akawa amenipigia simu ananifokea. Aisee, baada ya lisaa alipokea resignation letter yangu na mpaka leo huwa sijutii uamuzi ule.
pole sana,ila kama mwajiri wako ni Muhindi /Wahindi ,Mchina kwao ni jambo la kawaida,ila nachoweza kushauri ni wewe kumsikiliza kwa muda huo bila kumjibu vibaya alafu baadae akishatulia mfuate ofisini kwake na uombee kuongea naye,kisha mueleze kuwa kama unakuwa umekosea jambo unaomba awe anakuelekeza kiustarabu na pia asiwe anakufokea mbele za watu kani ni kudhalilishana na kutengeneza hali ya dharau kwa wafanyakazi wenzako.
Ipo siku yakoSisi mabosi ndio tulivyo tuzoee.tukifoka Kaa kimya☹️☹️☹️☹️
Wakike au mwanaume?
Kama ni wakike msamehe Bure, yupo kwenye menopause
#YNWA
Nakazia...Mkuu kama ndo kazi inayokuweka mjini basi kuwa Mpole tu wewe akifoka just smile. Mwambie nitarekebisha mkuu
Nawe upate hasira siku uitwe boss.
Umenikumbusha kuna boss alinitesa sana kila akikuta nahudumia demu mzuri lazima anigombeze bila sababu ilimradi demu aone yeye ndo tajiri
Siku moja nilikasirika sana nilisimama kwa hasira bila kusema neno nikawa namsogelea akawa anarudi nyuma kwa uoga nikajua kumbe ni pimbi tu nikaachana nae ila hakurudia tena
Niiini sasa unalia?[emoji24][emoji24][emoji24]
Kama kampuni ni yake vunga na ujifanye husikii ikibidi chukua simu upige ata namba 100 ujifanye unaongea na huduma kwa wateja [emoji5][emoji5]
Kwahiyo saivi Boss ny*ge zake zimeisha ni mwendo wa kukufokea tu hadharani?
Zidisha ujuzi kazini ufukuzwe kazi, ongeza utundu kitandani upande cheo. - Ni ushauri tu.
Niiini sasa unalia?
Pole sana mwambie aache hiyo tabia.Ata kama hapaswi kunifokea na kunifhalilisha
Arusha vichaa walianza zamani........
Boss kamfokea supervisor mbele ya umati wa watu......[emoji849]
Watu wakamshauri supervisor wakati wa kutoka mpige mtama/ngwala.....uwanjani mbele za watu.......
Wakati wa kutoka umefika bosi anakatiza uwanjani kwenda kupanda pijo.....jamaa kamjia kwa nyuma..." kata funua".....watu eeeeeerh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kila boss akinyanyuka anakula mtama watu eeeeeh..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata mgambo wa getini hawakumsaidia.
Mm mkavu tu na-adjust miwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukawa Upo kimya tu
Kwa kifupi jamaa kazi ilikwisha.Aise labda kama siyo Supervisor wake au mtu ambaye amemzidi cheo,maana unaweza jikuta kibarua kimeota nyashi kwa utovu wa nidhamu tu,ambapo ungeweza kukausha tu na usipungukiwe chochote kwa wakati huo,Muda mwingine ukimya ni bora kuliko maneno