Boss kwa kiswahili tumwiteje?

Boss kwa kiswahili tumwiteje?

WA MAMNDENII

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2010
Posts
344
Reaction score
58
tunakawaida kuwaita wakuu wetu wa kazi maofisini boss aidha katika kumwita au kusalimiana nae, je tutumie neno gani fasaha la kiswahili badala ya neno boss?
 
tunakawaida kuwaita wakuu wetu wa kazi maofisini boss aidha katika kumwita au kusalimiana nae, je tutumie neno gani fasaha la kiswahili badala ya neno boss?

Boss kwa kiswahili anaitwa Bwana Mkubwa au Bi Mkubwa....... au kwa kifupi kabisa Mkuu......
 
neno mkuu naona limetulia kwani nalitumia huku nikidhani sio muafaka kumbe nipo biyeee, thanks wooote
 
Boss-Bosi
Camera-Kamera
Shirt-Shati
nadhani bosi inakubalika,tuna maneno mengi hatuna katika msamiati bali tunayatoroha kutoka kwenye lugha zingine especially english and arab
 
Boss-Bosi
Camera-Kamera
Shirt-Shati
nadhani bosi inakubalika,tuna maneno mengi hatuna katika msamiati bali *tunayatoroha* kutoka kwenye lugha zingine especially english and arab

ni kutoroha au kutohoa?
 
Back
Top Bottom