Msema yote
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 448
- 299
Bongo kuna drama nyingi sana kama yupo uraiani China basi hawakumkamata na unga, China ukamatwe na unga wakuachie! wakati raia wao wenyewe wanawanyonga.
Huyo Jux hana akili baada ya kufikiria watafanyaje akipewa bond yeye anataka kuwa "prove" watu kwamba Jacky yuko nje, wachina hawajamuachia bado yuko ndani na anaembebesha sembe na kumpa jeuri anaitwa jordan, wewe Jux acha ushamba Jacky hatoki leo wala kesho
Sasa tutaanza kuchukua sheria mikononi
Ha ha haaa... na alivyomchamba...
Sasa tutaanza kuchukua sheria mikononi
kwa niijuavyo bongo!huyu jackie kwa uzuri wake angeweza kuishi maisha mazuri bila kufanya kazi zaidi ya kutegemea wanaume tu kama wafanyavyo chupi chafu wengine!ila kwa ujasiri wa mtu wangu huyu wa nguvu jackie cliff akachekecha akaona siyo kesi wala nini akazama mzigoni mwenyewe....big up mwanadada jackie cliff ni ajali kazini tu acha mbwa kama ray C mwenye ngoma ikampa stress akaanza kula unga mchafu abwatuke!kama yeye mjanja angekuwa anakula kitu white cha pele ila kwakuwa mzigo hana akawa anagonga machafuchafu ya pakistan.....get rich or die tryin!
Bongo kuna drama nyingi sana kama yupo uraiani China basi hawakumkamata na unga, China ukamatwe na unga wakuachie! wakati raia wao wenyewe wanawanyonga.
(mzigo hana akawa anagonga machafuchafu ya pakistan.....) hehehehe MUSHARAFUkwa niijuavyo bongo!huyu jackie kwa uzuri wake angeweza kuishi maisha mazuri bila kufanya kazi zaidi ya kutegemea wanaume tu kama wafanyavyo chupi chafu wengine!ila kwa ujasiri wa mtu wangu huyu wa nguvu jackie cliff akachekecha akaona siyo kesi wala nini akazama mzigoni mwenyewe....big up mwanadada jackie cliff ni ajali kazini tu acha mbwa kama ray C mwenye ngoma ikampa stress akaanza kula unga mchafu abwatuke!kama yeye mjanja angekuwa anakula kitu white cha pele ila kwakuwa mzigo hana akawa anagonga machafuchafu ya pakistan.....get rich or die tryin!