HUyo ndomo unamtetea anakufir* au?? Ebu niondolee uk*m* wako apa kama unanyony* mk** wake ni wewe na wangese wenzio mxiuuuu na ukome kunitag mbwa wewe, hovyo mama yako aliyekuzaa, unajifanya unamtetea unamjua wewe?? Mxuuuu una bahati nipo sehemu mbaya ningekunyea mpaka ungeshindwa kulala mbuzi mtu wewe
Kuna vitu havipaswi kuongea public babu tale leo nimemuona ----. AngeAcha tu anyway Diamond yy kajibu vzr.
Binamu taratibu bhana...
Kama tu Diamond hajihusishi na charms. Lakin kama naye chama moja. Hawawezi tengana.
Oyeeeeee...
MI nimemuelewa babu tale wala sihitaji dictionary wala kamusi, ila ipo siku wataumbuka na uchawi wao
Sijui shida nini" tatizo watu hawafikirii kabla ya kusema ila wanafikiri baada ya kusema.Alafu hili tatizo la watu kuropoka public mbona linazidi shika kasi.
Au bange?
Sijui shida nini" tatizo watu hawafikirii kabla ya kusema ila wanafikiri baada ya kusema.
HUyo mbwa hanijui, nataka nimuonyeshe mxieew
Kuna show moja huyo dogo na dancers wake walivua nguo na kuonyesha makalio wakiwa jukwaani nadhani ilikua ni sehemu ya mashatri ya kalumanzila.
Mhh huyo babu tale elimu yake ipoje? Hyo kauli yake ni kama mtu ambaye hajaenda shule na hajui psychology vzur, mimi nimemsikiliza, yani anaona ushirikina kwake ni kitu cha kawaida sana, yani ina maanisha yeye anafanya sana uchawi ndio maana hashtuki, kama yeye anafanya ushirikina ni ngumu kusema diamond hafanyi wakati yeye ndio manager wake ,that means anampa mbinu mbali mbali za biashara ikiwemo ushirikina, ipo siku mungu atawachapa waache wafanye wanayojua
Tatizo lipo kwenye kauli, na kumbuka mmoja ametamka kuamini ama kushiriki na mwingine amekana na kaenda mbali zaidi kwa kutoa hata mifano ya kwenye vitabu vitakatifu.
Utata utakao leta mgongano wa mawazo ni kauli mbili tofauti toka kwa Tale na Diamond
Kuna show moja huyo dogo na dancers wake walivua nguo na kuonyesha makalio wakiwa jukwaani nadhani ilikua ni sehemu ya mashatri ya kalumanzila.
Sijui shida nini" tatizo watu hawafikirii kabla ya kusema ila wanafikiri baada ya kusema.
Kwa kauli hii ya Babu Tale, tutarajie kusikia tofauti kati ya yeye na Diamond siku za karibuni. Naamini tutasikia wameanza kugombana, na sababu kubwa itakua kauli hii tata kutafsiriwa na mashabiki pia watanzania
Kinacho sikitisha zaidi ni mtu kurudia jambo hili zaidi ya mara moja wakati anajua fika kuwa image yake ni vigumu kutenganishwa na image ya Diamond kwa haraka!
Mbaya zaidi unaweza kukuta Diamond akawa yuko innocent kwenye hili lakini kwa kauli hizi za babu tale watu wakaona na yeye wale wale!
Huyu jamaa ame ni kera sana sijui anacho tafuta ni nini? Maana hii ni zaidi ya kuhitaji kuonekana mkweli....!
Washirikina oyeeeeeee??? Naona wachawi wanaumbuana hadharani mwaka huu hahahah