Boss wa Kichina awafungia Wafanyakazi kwa nje

Boss wa Kichina awafungia Wafanyakazi kwa nje

Mingendeu

Senior Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
115
Reaction score
237
Leo nilienda ofisi moja kununua bidhaa, cha ajabu nilikuta wafanyakazi wamefungiwa kwa nje na kufuri juu. Boss ametoka (mchina) anaamini wanaweza kuiba kitu na kukitorosha.

Cha ajabu wafanyakazi wale wanaonekana kuzoea kabisa hilo swala. Wanasema linajitokeza mara kwa mara.

Nilikaa hadi boss wao aliporudi. Sikumuuliza kitu maana nilihitaji discount nikasema nisije kunyimwa😂

Serikali inapaswa kufatilia maisha ya wafanyakazi sekta binafsi. Ni changamoto Sana. Unakuta pia muajiri haruhusu muajiriwa wake awe kwenye chama chochote cha wafanyakazi.
 
Leo nilienda ofisi moja kununua bidhaa, cha ajabu nilikuta wafanyakazi wamefungiwa kwa nje na kufuri juu. Boss ametoka (mchina) anaamini wanaweza kuiba kitu na kukitorosha.

Cha ajabu wafanyakazi wale wanaonekana kuzoea kabisa hilo swala. Wanasema linajitokeza mara kwa mara.

Nilikaa hadi boss wao aliporudi. Sikumuuliza kitu maana nilihitaji discount nikasema nisije kunyimwa😂

Serikali inapaswa kufatilia maisha ya wafanyakazi sekta binafsi. Ni changamoto Sana. Unakuta pia muajiri haruhusu muajiriwa wake awe kwenye chama chochote cha wafanyakazi.
Wabongo ni wezi ni wezi sana naunga mkono hoja.
Mbongo unamwajiri duka la dawa kumbe ana dawa zake anauza wewe zako zadoda. Unadhani biashara haiendi kumbe wewe walipa frem kodi na mshahara juu lakini anauza za kwake.
Wizi ndo usiseme, wabongo hawana huruma kabisa.
 
Wabongo ni wezi ni wezi sana naunga mkonk hoja.
Mbongo unamwajiri duka la dawa kumbe ana dawa zake anauza wewe zako zadoda. Unadhani biashara haiendi kumbe wewe walipa frem kodi na mshahara jui lakini anauza za kwake.
Wizi ndo usiseme, wabongo hawana huruma kabisa.
Too general. Hata mtukufu Daktari Sa100 naye ni mwizi kweli we dogo? Hebu niombe msamaha kwa kumjumuisha mtukufu rahis wote. Pia, utubie kwa kumkosea mtukufu rahis.
 
Leo nilienda ofisi moja kununua bidhaa, cha ajabu nilikuta wafanyakazi wamefungiwa kwa nje na kufuri juu. Boss ametoka (mchina) anaamini wanaweza kuiba kitu na kukitorosha.

Cha ajabu wafanyakazi wale wanaonekana kuzoea kabisa hilo swala. Wanasema linajitokeza mara kwa mara.

Nilikaa hadi boss wao aliporudi. Sikumuuliza kitu maana nilihitaji discount nikasema nisije kunyimwa😂

Serikali inapaswa kufatilia maisha ya wafanyakazi sekta binafsi. Ni changamoto Sana. Unakuta pia muajiri haruhusu muajiriwa wake awe kwenye chama chochote cha wafanyakazi.
Utachukiwa bure na hao wafanyakazi na kuwa adui yao, usimtetee mtanzania utajijengea uhasama kwani kila utakapofika kiwandani hapo watakukimbia.
 
Too general. Hata mtukufu Daktari Sa100 naye ni mwizi kweli we dogo? Hebu niombe msamaha kwa kumjumuisha mtukufu rahis wote. Pia, utubie kwa kumkosea mtukufu rahis.
Sijamtaja mtukufu.
Ila wabongo ni wezi na tunatukuza wizi ndio maana utasikia tunasema, yuko tra, dah huyo ashatoboa. Maana tunawaza ataiba.
Unasikia nikipata kazi pale nitapiga ela kinoma.
Hata mtu akiwa na cheo kama waziri halafu awe na maisha ya kawaida tunashangaa kwanini hakuiba.
 
Sijamtaja mtukufu.
Ila wabongo ni wezi na tunatukuza wizi ndio maana utasikia tunasema, yukl tra, dah huyo ashatoboa. Maana tunawaza ataiba.
Unasikia nikipata kazi pale nitapiga ela kinoma.
Hata mtu akiwa na cheo kama waziria halafu awe na maisha ya kawaida tunashangaa kwanini hakuiba.
Unaposema watanzania ni wezi umemtaja kwa sababu naye ni mtanzania vinginevyo useme ni mzenj anayekolonisha Danganyika.
 
Lini, wapi, sababu, ushahidi, uliwahoji, walilalamika, ulimhoji na ukajua hayo unayosema, umetunga, na umegundua udhaifu wako?
Wao wafanyakazi hawakulalamika na kwao sio tukio geni. Mimi ndie niliona geni. Hivyo hapakuwa na sababu ya msingi Sana Mimi kumuhoji yule jamaa kwa maana wale wafanyakazi wamekubaliana na mazingira husika
 
Leo nilienda ofisi moja kununua bidhaa, cha ajabu nilikuta wafanyakazi wamefungiwa kwa nje na kufuri juu. Boss ametoka (mchina) anaamini wanaweza kuiba kitu na kukitorosha.

Cha ajabu wafanyakazi wale wanaonekana kuzoea kabisa hilo swala. Wanasema linajitokeza mara kwa mara.

Nilikaa hadi boss wao aliporudi. Sikumuuliza kitu maana nilihitaji discount nikasema nisije kunyimwa😂

Serikali inapaswa kufatilia maisha ya wafanyakazi sekta binafsi. Ni changamoto Sana. Unakuta pia muajiri haruhusu muajiriwa wake awe kwenye chama chochote cha wafanyakazi.
Unadhani hawaibi ?😂 Boss anawajua watu wake
 
Back
Top Bottom