Nimejifunza mengi juu ya hili na nimepata faraja na ushauri mzuri tu ambao nitaufanyia kazi.
Kulileta hapa imenipunguzia hasira nilizokuwa nazo na imenipa mtizamo mpya juu ya uhusiano wetu. So sikama nimepoteza muda mkuu ni megain sana.
muoga wa kuchomwa weye..sikuwa najua atiii!Bwana NATA....kama amefikia hapo, achana naye......mtoto atatafutiwa utaratibu wa kulelewa hata kama na shangazi zake..akumulikaye mchana, usiku atakuchoma wallahi tena...
Nimejifunza mengi juu ya hili na nimepata faraja na ushauri mzuri tu ambao nitaufanyia kazi.
Kulileta hapa imenipunguzia hasira nilizokuwa nazo na imenipa mtizamo mpya juu ya uhusiano wetu. So sikama nimepoteza muda mkuu ni megain sana.
Mzazi mwenzangu ameamua kupiga cm na kumtukana kila mwanamke niliye msave katika cm yangu.
Matokeo kanitukania boss wangu .
Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!
ni wewe uliyemwandalia mazingira ya kutokukuamin
kaa nae chn mweleze jins ulivyo na utoe doubt zako alizokuwa nazo juu yako
then mwambie aisirudie tena
nenda kwa bos mpe situation ilivyo ataelewa tu
mwambie mkewangu akujua km wewe ni bos wangu katukana kila mtiu kwa cm yangu
m sor
aitarudia tena
MTOE WASIWASI MKEO...NI WEWE ULIYESABABISHA AWE IVI...USIMPE TASHWISHWI MPZ WAKO
Boss wangu ni muungwana sana .
Ni zaidi ya Ruth wa kwenye bible.
ehh RUTH ndo yule aliyegeuka chumv au>?
Ktk management, moja ya principle ambazo max weber alipropose ni ile principle ya "impartiality or impersonality" hapa namaanisha usichanganye shughuri zako binafsi na kazi, mume ni shughuri binafsi, ni tatizo/janga laka mwenyewe, wewe binafsi tofauti na ofisi, mtafute boss wako umwombe msamaha km utavyowaomba wengine waliotumia msg na kupigiwa simu na mumeo!usimtreat km boss wako kwa hili!Mzazi mwenzangu ameamua kupiga cm na kumtukana kila mwanamke niliye msave katika cm yangu.Matokeo kanitukania boss wangu . Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!
Mh nakubaliana na wewe maaana hatabiriki mambo yake.
muoga wa kuchomwa weye..sikuwa najua atiii!
mhh jamani...mi zaidi ila nataka kukuchoma moto maana najua waogopa moto weye!sijawahi kusikia mtu anapenda moto hasa kuchomwa motoni.....asee shosti nimekumiss do ze nidiful
Haiko clear, so unataka ushauri kwa kuwatukana wanawake wenzako au boss wako? amewatukana kwa kosa gani? nini kilichopelekea awatukane? fafanua tuelewe haijakaa vizuriMzazi mwenzangu ameamua kupiga cm na kumtukana kila mwanamke niliye msave katika cm yangu.
Matokeo kanitukania boss wangu .
Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!