BoT: Coronavirus imeathiri uchumi wa Tanzania tangu Machi

OLS

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
426
Reaction score
685
Katika ripoti ya uchumi iliyotolewa na Benki Kuu ikionyesha hali ya uchumi kwa mwaka ulioisha mwezi wa Aprili imeonyesha kuwa #COVID19 imesababisha uchumi kufanya vibaya

Ripoti imesema #COVID19 imeharibu ualishaji na uhitaji (Supply and Demand) kutokana na hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa na ili kuzuia maambukizi kuenea kwa kasi

Madhara ya #CoronaVirus yalianza kunekana mwezi Machi, kwa kwa mwezi Februari uchumi ulikuwa vizuri kwa kuwa nchi nyingi ambazo zinashirikiana kibiashara na Tanzania hazikuweka hatua ngumu za kuzuia #COVID19.

Aidha Benki ya Dunia ilitabiri ukuaji wa uchumi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 2.5%. Aidha, imetabiri watu 500,000 zaidi wataingia katika kundi la umasikini

 
Hii ilitegemewa ila wale watafasiri kuwa ni uongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…