KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
BOT ishaurini serikali ianze kuzalisha noti za shillingi elfu hamsini (50,000).
Jipapatueni huko muanze kuizalisha hiyo noti, mtakuwa mmepunguza mzigo kwa watu fulani fulani nafikiri hata nyinyi mnanielewa!.
by the way hakikisheni uchumi unakuwa stable sio kuileta hiyo noti ndo nathamani ya pesa yetu ianze kulamba joto la jiwe..😅
Jipapatueni huko muanze kuizalisha hiyo noti, mtakuwa mmepunguza mzigo kwa watu fulani fulani nafikiri hata nyinyi mnanielewa!.
by the way hakikisheni uchumi unakuwa stable sio kuileta hiyo noti ndo nathamani ya pesa yetu ianze kulamba joto la jiwe..😅