BoT, TCRA ifanye auditing kwenye mikopo ya Mpesa, Tigo na Airtel . A case of MGODI

BoT, TCRA ifanye auditing kwenye mikopo ya Mpesa, Tigo na Airtel . A case of MGODI

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Rate ya BoT kwenye kampuni za kukopesha ni 3.5% as a guidance issued by BoT.

A simple study imefanyika kwenye mikopo ya Vodacom kupitia Mpesa and there is huge deviation which is believed to be against BoT guideline.

1. Informant amekopa kiasi cha 84,800, Mgodi huwa wanakata kwanza riba yao, hivyo muhusika akapokea jumla ya shilingi 68,688 sawa na Makato ya asilimia 19 ( 16, 112) ya 84,800.

2. Anapokuja kulipa, mgodi wanamtumia mteja SMS kulipa kiasi cha 84,800 ili kufuta mkopo wake, mteja atalazimika kulipa hiyo pesa, akilipa hiyo pesa anakuwa amekatwa tena ile 19% yaani 16,112 nyingine na kufanya jumla ya 32,224 sawa na 38 % as total , ikumbukwe yeye mteja alipokea 68,688 only . Ratio ya makato against cash aliyopokea ni almost 50 by 50 .

3. Wakati mteja anapolipa sasa, kiasi kinabadilika badala ya kuwa 84,800, kiasi kinachosoma kwa ajili ya malipo kina kuwa 89, 040 , ongezeko la 4240 ( ukijumlisha na 32,224 inakuwa 36,464 .


Haya ndio makato ya mteja out of 68, 688 aliyopokea from
84, 800 kama mkopo . Hii ni zaidi ya 50% against
3.4% ya BoT.

Sidhan kama Nape , TCRA na BoT mnahizi Taarifa, tunaposema CCM Hamna MSAADA kwa taifa tuelewane.hizi ndio hoja wabunge wanapaswa ku present , sio kuweka wasanii kama taletale bunguni a standard 7 failures and the likes .

Naishauri BOT, TCRA ifanye simple audit kwenye mikopo ya mitandao yote ianze na MGODI.

Simple auding ijumuishe wao wenyewe kukopa na ku observe trends za makato pamoja na methematical behinds the computation, otherwise tunaweza kuspeculate kuwa kuna viongozi wanafanya UFISADI kwa kushirikiana na hii mitandao hasa VODACOM. Kwa sababu hayo makato kwa watu Mil 3 tu ,ni pesa nyingi sana. Watanzania wengi bado ni ignorants, Serikali lazima iwe na jukumu la kuwalinda.@t

IMG_2131.jpeg
 
Una hoja nzuri but review hesabu zako.
Yaani kinachofanyika ni wao kukata riba Yao ambayo kimsingi ni kubwa.
Lakini pia kuna utaratibu WA riba kubwa unapochelewa kurejesha.
 
Una hoja nzuri but review hesabu zako.
Yaani kinachofanyika ni wao kukata riba Yao ambayo kimsingi ni kubwa.
Lakini pia kuna utaratibu WA riba kubwa unapochelewa kurejesha.
Hesabu hazina shida just sit and calculate. Hakuna sehemu imekuwa indicated kuwa mteja alichelewesha kulipa. Hizo ni payment zimefanywa na mdau as a study na zikalipwa kwa wakati

Unaposema review hesabu zako bila ya ku indicate what is wrong , unakuwa haupo realistic and objective
 
Hesabu hazina shida just sit and calculate. Hakuna sehemu imekuwa indicated kuwa mteja alichelewesha kulipa. Hizo ni payment zimefanywa na mdau as a study na zikalipwa kwa wakati

Unaposema review hesabu zako bila ya ku indicate what is wrong , unakuwa haupo realistic and objective
Hesabu zina shida haswa hio hoja yako ya pili.
 
Rate ya BoT kwenye kampuni za kukopesha ni 3.5% as a guidance issued by BoT.
Siyo kweli kwamba rate ya wakopeshaji ni 3.5% mkuu, soma vizuri source yako ambayo bila shaka imeandikwa kwa kimombo.

Riba inayotolewa na BoT wenyewe kwa mabenki ni 6-9%, mabenki nayo hukopesha weteja wake kwa 13-16 %. Sasa hiyo 3.5% umeipata wapi ikiwa hata BoT wenyewe wako juu ya hiyo rate?

Haya makampuni ya simu kwa vyovyote vile lazima yacheze juu ya 13-16%, ili yapate faida. Chini ya hapo itakuwa biashara kichaa.

Dawa ni kuacha kukopa hovyo, ishi kulingana na uwezo wako.
 
Hesabu hazina shida just sit and calculate. Hakuna sehemu imekuwa indicated kuwa mteja alichelewesha kulipa. Hizo ni payment zimefanywa na mdau as a study na zikalipwa kwa wakati
Acha ubishi umekosea hesabu. Úmekopa 84 ukapewa 68 unatakiwa kurejesha 84. Riba hapo ni 19%
 
Siyo kweli kwamba rate ya wakopeshaji ni 3.5% mkuu, soma vizuri source yako ambayo bila shaka imeandikwa kwa kimombo.

Riba unayotolewa na BoT wenyewe kwa mabenki ni 6-9% mabenki nayo hukopesha weteja wake kwa 13-16 %. Sasa hiyo 3.5% umeipata wapi ikiwa hata BT wenyewe wako juu ya hiyo rate?

Haya makampuni ya simu kwa vyovyote vile lazima yacheze baove 13-16%, ili yapate faida. Chini ya hapo itakuwa biashara kichaa.

Dawa ni kuacha kukopa hovyo, ishi kulingana na uwezo wako.
Kimombo kina shida gani ?

Wakopesha wa mitandaoni,na hizi kampuni za kukopesha like Platnumz etc wana rate sawa na mabank?
Twende pole pole ili nikueleweshe, kuna knowledge gap
 
Acha ubishi umekosea hesabu. Úmekopa 84 ukapewa 68 unatakiwa kurejesha 84. Riba hapo ni 19%
Twende pole pole na kama umeelewa nilichoabdika, asilimia 19 ni kiasi? Just give me figure nikueleweshe , kuna gap la hesabu na kuna gap la kuelewa content
 
Kimombo kina shida gani ?

Wakopesha wa mitandaoni,na hizi kampuni za kukopesha like Platnumz etc wana rate sawa na mabank?
Twende pole pole ili nikueleweshe, kuna knowledge gap
Soma vizuri comment yangu, hasa aya ya pili kutoka mwisho.
 
Soma vizuri comment yangu, hasa aya ya pili kutoka mwisho.
Bado hujaelewa na natamani nikueleweshe kwanini hesabu hazina.
Siyo kweli kwamba rate ya wakopeshaji ni 3.5% mkuu, soma vizuri source yako ambayo bila shaka imeandikwa kwa kimombo.

Riba inayotolewa na BoT wenyewe kwa mabenki ni 6-9%, mabenki nayo hukopesha weteja wake kwa 13-16 %. Sasa hiyo 3.5% umeipata wapi ikiwa hata BoT wenyewe wako juu ya hiyo rate?

Haya makampuni ya simu kwa vyovyote vile lazima yacheze juu ya 13-16%, ili yapate faida. Chini ya hapo itakuwa biashara kichaa.

Dawa ni kuacha kukopa hovyo, ishi kulingana na uwezo wako.
I wish utulize akili uelewe
 
Hiyo 3.5% ni riba ya mwaka au mwezi au siku ngapi??
Je hiyo riba ni reducing balance or flat?
 
Watanzania wengi bado ni ignorants, Serikali lazima iwe na jukumu la kuwalinda.
Mmmmh, njia mojawapo ya kumuelewesha ignorant ni kumruhusu ayapitie kwa ukamilifu mateso ya ujinga wake ili ajifunze. Ujinga ni kosa kubwa na upumbavu (kukataa kufundishika) ni dhambi kabisa.

Kumlinda mtoto mjinga humuharibia zaidi ya kumjenga
 
"Informant amekopa kiasi cha 84,800, Mgodi huwa wanakata kwanza riba yao, hivyo muhusika akapokea jumla ya shilingi 68,688 sawa na Makato ya asilimia 19 ( 16, 112) ya 84,800."

Sasa hapo kapewa 68,688 karudisha 84,800+4240 (hio ulioandika huko chini) = 89,040.

Chukua hio 89,040-68,688 unapata

68,688 ndio pesa aliopokea na hio 89,040 ndio jumla ya kiasi alichorejesha.

Unapata. 20,352. Hio ndio jumla ya makato yote.
 
Mmmmh, njia mojawapo ya kumuelewesha ignorant ni kumruhusu ayapitie kwa ukamilifu mateso ya ujinga wake ili ajifunze. Ujinga ni kosa kubwa na upumbavu (kukataa kufundishika) ni dhambi kabisa.

Kumlinda mtoto mjinga humuharibia zaidi ya kumjenga
What an equivalent response 😂
 
Back
Top Bottom