Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,183
- 3,660
Wataalamu wa uchumi mkuje mutuelezee Kwa sababu gani Bank kuu wameacha Kutoa sarafu mpya Yani 50, 100 na 200 na kufanya ziadimike katika mzunguko wa biashara
Ni kwamba Kuna ishu yoyote ya kiuchumi imewalazimu kufanya hivi au Kuna kigogo tu Fulani ameshiba ugali wake na maharage akasema sitaki kuingiza sarafu mpya katika mzunguko wa biashara
Pia hizi sarafu za Tshs 50 na Tshs 100 sio imara Yani zinashika kutu na kuharibika haraka ukiringanisha na zile za Tshs 200 hivi hawakuliona hili miaka yote wakatengeneza zenye uimara kama zile za Tshs 200 au ndio 20% na mbuzi kula Kwa urefu wa kamba yake
Ukweli ni kwamba sarafu zimeadimika sokoni na ukienda Bank kuomba chengi upewe sarafu unaambiwa hakuna maana yake ni kwamba Kuna uhaba wa sarafu katika mzunguko wa biashara hapa Tanzania
Je ! Shida nini
Ni kwamba Kuna ishu yoyote ya kiuchumi imewalazimu kufanya hivi au Kuna kigogo tu Fulani ameshiba ugali wake na maharage akasema sitaki kuingiza sarafu mpya katika mzunguko wa biashara
Pia hizi sarafu za Tshs 50 na Tshs 100 sio imara Yani zinashika kutu na kuharibika haraka ukiringanisha na zile za Tshs 200 hivi hawakuliona hili miaka yote wakatengeneza zenye uimara kama zile za Tshs 200 au ndio 20% na mbuzi kula Kwa urefu wa kamba yake
Ukweli ni kwamba sarafu zimeadimika sokoni na ukienda Bank kuomba chengi upewe sarafu unaambiwa hakuna maana yake ni kwamba Kuna uhaba wa sarafu katika mzunguko wa biashara hapa Tanzania
Je ! Shida nini