Bot wameshaita watu kwenye ajira

bob kalo

Member
Joined
Jul 30, 2009
Posts
7
Reaction score
0
Wakuu mwenye taarifa anijuze wiki tatu zimepita tangu nifanye oral interview pale Bot.Tulikuwa kama 15 hv tuliofanya hio interview naomba kujua kama wameshaita plse mwenye taarifa anijuze
 
Wakuu mwenye taarifa anijuze wiki tatu zimepita tangu nifanye oral interview pale Bot.Tulikuwa kama 15 hv tuliofanya hio interview naomba kujua kama wameshaita plse mwenye taarifa anijuze

Kaka Bot wameshaita watu...waliita tarehe 21/05/2012 kwa ile post ya Economist (Monetary)
 
Siku nyingine usiombe kazi pale unajisumbua tu mdogo wangu. Wale watu interrview zao huwa Zuga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…