BOT wananunua dhahabu ?

BOT wananunua dhahabu ?

MAMA POROJO

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
4,974
Reaction score
785
Kuna miaka BOT walikuwa wananunua dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo wadogo. Sielewi kama bado wananunua. Ukiangalia Indicative Foreign Exchange Market Rates yao dhahabu imeorodheshwa[angalia attachment chini], napata shida kidogo na kifupisho walichotumia cha Gold (T/O) hiki ni kipimo gani wana JF?. Na je kiwango cha fedha walicho weka ndiyo bei ya dhahabu? Je wapo wanunuzi wengine wa dhahabu nchini Tanzania?
 
Back
Top Bottom