BoT wanashughulikia kesi zisizozidi milioni 15. Je, madai yanayozidi kiasi hicho yapelekwe wapi?

BoT wanashughulikia kesi zisizozidi milioni 15. Je, madai yanayozidi kiasi hicho yapelekwe wapi?

tactician

Member
Joined
Feb 16, 2020
Posts
6
Reaction score
10
Benki kuu imeweka dawati la kushughulikia kesi zinazohusu mabenki na wateja wao, lkn wamesema kesi ambazo wao kama Benki Kuu wanasikiliza ni zile zisizozidi milion 15, Sasa je Kama madai yanazidi kiasi hicho inabidi yapelekwe wapi?
 
Back
Top Bottom