Boti yenye watalii yawaka moto Baharini

Boti yenye watalii yawaka moto Baharini

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Screenshot 2023-06-12 at 12-30-14 @millardayo Instagram.png
Waokoaji Nchini Misri wanawatafuta Watalii watatu wa Uingereza ambao hawajulikani walipo baada ya moto kuzuka kwenye Boti waliyokuwa wakisafiria baharini nchini Misri jana Jumapili.

Vyombo vya habari vya Misri vimesema Boti hiyo ya Watalii ilikuwa imebeba jumla ya Watu 27 huku miongoni mwao ni Watalii 15 wa Ungereza ambapo Waingereza 12 waliokolewa na sasa kazi imebaki ni kuwatafuta watatu wasiojulikana waliko.

Tukio hilo limetokea siku chache baada ya fukwe kufungwa katika eneo la mapumziko la Bahari Nyekundu la Hurghada baada ya Mwanamume Raia wa Urusi aliyekuwa akiogelea baharini kufariki baada ya kutafunwa na papa.
 
Waokoaji Nchini Misri wanawatafuta Watalii watatu wa Uingereza ambao hawajulikani walipo baada ya moto kuzuka kwenye Boti waliyokuwa wakisafiria baharini nchini Misri jana Jumapili.

Vyombo vya habari vya Misri vimesema Boti hiyo ya Watalii ilikuwa imebeba jumla ya Watu 27 huku miongoni mwao ni Watalii 15 wa Ungereza ambapo Waingereza 12 waliokolewa na sasa kazi imebaki ni kuwatafuta watatu wasiojulikana waliko.

Tukio hilo limetokea siku chache baada ya fukwe kufungwa katika eneo la mapumziko la Bahari Nyekundu la Hurghada baada ya Mwanamume Raia wa Urusi aliyekuwa akiogelea baharini kufariki baada ya kutafunwa na papa.
Hivi hapo hawajulikani walipo kweli?

Au wanashindwa kusema wako baharini,na uwezekano mkubwa wamefariki tayari.
 
Back
Top Bottom