Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Vyombo vya habari vya Misri vimesema Boti hiyo ya Watalii ilikuwa imebeba jumla ya Watu 27 huku miongoni mwao ni Watalii 15 wa Ungereza ambapo Waingereza 12 waliokolewa na sasa kazi imebaki ni kuwatafuta watatu wasiojulikana waliko.
Tukio hilo limetokea siku chache baada ya fukwe kufungwa katika eneo la mapumziko la Bahari Nyekundu la Hurghada baada ya Mwanamume Raia wa Urusi aliyekuwa akiogelea baharini kufariki baada ya kutafunwa na papa.